Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Yanga anacheza fainali ya CL mwaka huu,jitoe ufahamu tu hapo
Ndiyo tunachezaUnasemaaaa?[emoji23][emoji23]
Mechi za makundi zimeisha?Tuliwaambia nyie visebengo
Mshindi wa shirikisho alimpasua bingwa wa club bingwa kwenye super cup.Yaan kiufupi hakuna vibonde,sasa makolo ole wenu muanze lawama kwetu yanga pindi tutakapokuwa tunatoa adhabu kwa timu!
AahaaaaMgonjwa yupo ICU anajipa moyo
AahaaaaSimba ni timu kubwa, tunampiga wydad nje ndani.
Mwaka jana mlishabikia vipers na tukawapiga nje ndani. Bado tuna mechi mbili kwa mkapa.Aahaaaa
Saa nne tuonyeshe huo ukubwa wako
Ila usisahau ukifungwa tu unafanana na Yanga
AahaaaaMwaka jana mlishabikia vipers na tukawapiga nje ndani. Bado tuna mechi mbili kwa mkapa.
Leo simba akitoka sare atakuwa na point 3 ambazo ni sawa na kushinda mechi moja ya nyumbani.
Kwahiyo kimahesabu bado tupo pazuri.
AahaaaaaSare lazima ipatikane ikiwa ushindi utagoma.
Simba ni timu kubwa, tunampiga wydad nje ndani.