TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Habari wajenz /mafundi na wajenz wenzangu , naomba ushurik wenu hapa
Nipo katika kujiandaa kuanza ujenzi na nataka nijenge kwanza hatua ya msingi kwanza kutokan na kipato changu naomba makadirio ya karibu kbsa katika kuanza msingi na kuumalza hasa katika vifaa kama:-
-MATOFALI
- NONDO
-MALIPO YA FUNDI
KIWANJA KIPO ENEO TAMBARALE KWA 93% UDONGO NI KICHANGA ILA NATAKA NIFUNGE MKANDA KUTA ZA NJE ZA JENGO Na kuta/msingi zote ambazo hutoka Nje kuingia ndani ,
BEI ZA TOFAULI ZA MSINGI TSHS 1100/- @1 INCH 6
CEMENT 15000/-
KWA MSISITIZO Ushimen na Njuka II
Peace of floor plane [emoji116][emoji116] moderate jitahd pcha ionekane.
JE KWENYE MKANDA NILAZIMA KUSUKA NONDO 3 VIPI NIKILAZA NONDO 2[emoji4][emoji19]
Nipo katika kujiandaa kuanza ujenzi na nataka nijenge kwanza hatua ya msingi kwanza kutokan na kipato changu naomba makadirio ya karibu kbsa katika kuanza msingi na kuumalza hasa katika vifaa kama:-
-MATOFALI
- CEMENT
- KOKOTO
- NONDO
-MALIPO YA FUNDI
KIWANJA KIPO ENEO TAMBARALE KWA 93% UDONGO NI KICHANGA ILA NATAKA NIFUNGE MKANDA KUTA ZA NJE ZA JENGO Na kuta/msingi zote ambazo hutoka Nje kuingia ndani ,
BEI ZA TOFAULI ZA MSINGI TSHS 1100/- @1 INCH 6
CEMENT 15000/-
KWA MSISITIZO Ushimen na Njuka II
Peace of floor plane [emoji116][emoji116] moderate jitahd pcha ionekane.
JE KWENYE MKANDA NILAZIMA KUSUKA NONDO 3 VIPI NIKILAZA NONDO 2[emoji4][emoji19]