Hatua zilizochukuliwa na Kenya, bado hazitosaidia kupunguza maambukizi mapya.

Hatua zilizochukuliwa na Kenya, bado hazitosaidia kupunguza maambukizi mapya.

MJinga wa mwisho huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hua ukibishana naye kuhusu mambo ya Computer Science ama IT, anakujibu akianza na "mimi kama mtaalam wa IT"..... Ukibishana nae kuhusu mambo ya uchumi anasema yeye amebobea maswala ya kiuchumi kwavivyo tumsikilize yeye kama mtaalam wa uchumi...... Corona ilipoanza kushika kasi Kenya, Jamaa akadakia tayari na akawa mtaalam wa Afya

Wana jamaa, ninatanguliza ushauri wangu wa kitaalamu kuhusu kupunguza maambukizi ya corona nchini Kenya. Hatua aliyochukua rais Uhuru Kenyatta kupiga marufuku watu kuingia na kutoka katika miji ya Nairobi, Mombasa na majimbo ya Kwale na Kilifi bila kuweka ya " total lockdown " ndani ya hayo maeneo, haiwezi kuzuia idadi ya watu watakaoambukizwa kupungua.

Hii amri itasaidia kuzuia maambukizi kuenea katika miji na majimbo mengine ya Kenya, lakini ndani ya jiji la Nairobi na Mombasa, Kilifi na Kwale maambukizi yataendelea.

cc. Tony254
Mwaswast

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom