Hatuhitaji Mwanasheria au Waziri kutuambia kuwa Dubai sio State

Hatuhitaji Mwanasheria au Waziri kutuambia kuwa Dubai sio State

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Ndiyo huitaji mwanasheria wala Waziri kukupa maelekezo kibao kukuaminisha kuwa eti Dubai ni state kama ilivyowekwa kwenye IGA kati ya Tanzania na Dubai.

Nenda google tu andika "Dubai is a state?" Utajibiwa vizuri tu ila chakushangaza wanasheria wetu waliotumwa huko Dubai kwenda kutuwakilisha wameitaja Dubai kama state katika mkataba!
Screenshot_2023-07-10-22-03-23-68_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg

IMG_20230801_201956.jpg
screenshot_2023-08-02-11-52-53-89_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948-jpg.2706061
Screenshot_2023-08-02-11-54-19-22_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Kwa maana hii bas! Ata mandate ya kuingia mkataba kati ya Tanzania na Dubai yalipaswa kutolewa na Umoja wa Falme za Kiarabu na sio Dubai kama walivyofanya .
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-02-11-52-53-89_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
    Screenshot_2023-08-02-11-52-53-89_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
    116.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_2023-07-10-22-03-23-68_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
    Screenshot_2023-07-10-22-03-23-68_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
    105.4 KB · Views: 2
Naona na wewe unatest zali ili utumiwe vocha na wakwepa kodi wa bandarini.
Bahati nzuri wakwepa kodi wenyew wameona umeandika kinyaa kitupu, so wamekuachia uzi wako ujiulize na kujijibu mwenyew kupitia account zako zingine.
 
Naona na wewe unatest zali ili utumiwe vocha na wakwepa kodi wa bandarini.
Bahati nzuri wakwepa kodi wenyew wameona umeandika kinyaa kitupu, so wamekuachia uzi wako ujiulize na kujijibu mwenyew kupitia account zako zingine.
Huyo anaetuma vocha nani? Unahisi utu wangu si wamaana sana kuliko hizo vocha? Kwani kuna sehemu nimeandika kitu cha uongo hapo?
 
Huyo anaetuma vocha nani? Unahisi utu wangu si wamaana sana kuliko hizo vocha? Kwani kuna sehemu nimeandika kitu cha uongo hapo?
Chawa wanalipiwa mpaka toilet paper. Kwa hiyo usishangae mwanaume kuwa na mawazo ya kulipiwalipiwa!
 
Naona na wewe unatest zali ili utumiwe vocha na wakwepa kodi wa bandarini.
Bahati nzuri wakwepa kodi wenyew wameona umeandika kinyaa kitupu, so wamekuachia uzi wako ujiulize na kujijibu mwenyew kupitia account zako zingine.
MTU Safi hahitaji chawa
 
Back
Top Bottom