Elections 2010 Hatujafanya utafiti: Synovate

Elections 2010 Hatujafanya utafiti: Synovate

HAwa jamaa wanafanya uhuni.Huyu Owilo ni mkenya,anataka kutuletea mambo ya kwao,maana huko kwao wakiambiwa tangaza kibaki ndio mshindi wanatangaza bila kufuata utaratibu uliokubalika.Ila huyu Bwana amekuja Tz kutafuta,sasa alichofuata CCM wamempa kwa nini asitekeleze matakwa yao???

WATANZANIA TUSIKATISHWE TAMAA NA HAWA WAKUJA CHAGUO LETU NI MWANAUKOMBOZI DR.W.SLAAA.
 
Kwenye UPINZANI hakuna uongo weweee, Synovate walifanya utafiti, kabla hawajatangaza matokeo CCM wakapata issue wakawafunga midomo. Wazee wa magwanda wakapata habari (sio wote wanaofurahia uchafu wa CCM hata makada wao so kuna wanaovujisha habari). Kuona wameumbuliwa wakaamua kukanusha kwa kudai hawajawahi kufanya utafiti kama huo.. Within few days utafiti umefanyika chapchap ma matokeo yametangazwa.. Shame on them!!!
 
HATUJAFANYA UTAFITI: SYNOVET
Kwa wale wenzangu ambao mnafuatilia vyombo vya habari, haijapita wiki mbili tangu kampuni ya Synovet ilipotamka wazi kuwa hawajafanya utafiti kuhusu wagombea wa Urais. Ndani ya juma moja, wametoa matokeo. Mbona wanajikanganya? Unaweza kufanya utafiti nchi nzima, kufanya uchambuzi wa makini na kuchapisha taarifa ndani ya juma moja? Je hii inawezekana?
Wanatekeleza ya mkubwa, hata hivyo data za kupikwa inawezekana hata kwa dakika, na ndivyo walivyofanya.
 
Haiwezekani ni uchakachuaji tu!.....ila wajue hatudanganyiki pamoja na kuwa wanaganga njaa.........
 
Hii habari inaweza ikawaumbua sana hawa SINA VYETI (Synovate).

Shame on you!
 
Labda wametumia data set ya REDET ingawaje matokeo tofauti!
 
Back
Top Bottom