Hatujawahi kuwa na Rais mpenda mazingira na uhifadhi kama John Pombe Magufuli

Hatujawahi kuwa na Rais mpenda mazingira na uhifadhi kama John Pombe Magufuli

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Rais Magufuli alikuwa ni Rais mpenda Mazingira na uhifadhi hasa. Wakati anaingia madarakani mwaka 2015 idadi ya Tembo Tz ilisadikika kuwa 43,000. Hadi anafariki mwaka 2021 inasemwa kuwa tembo walifika 60,000. Sababu alidhibiti ujangili.

Magufuli alianzisha National Parks tatu. Mwalimu Nyerere ambayo ndiyo kubwa kuliko zote Tz, Mto Ugalla na Burigi-Chato. Hizi ni zaidi ya kmsq 35000.
Wakati wake aliwezesha upigwaji marufuku wa mifuko ya plastiki. Bila kusahau alianzisha jumamosi ya usafi kila mwisho wa mwezi.
Apewe maua yake.
 
Rais Magufuli alikuwa ni Rais mpenda Mazingira na uhifadhi hasa. Wakati anaingia madarakani mwaka 2015 idadi ya Tembo Tz ilisadikika kuwa 43,000. Hadi anafariki mwaka 2021 inasemwa kuwa tembo walifika 60,000. Sababu alidhibiti ujangili.

Magufuli alianzisha National Parks tatu. Mwalimu Nyerere ambayo ndiyo kubwa kuliko zote Tz, Mto Ugalla na Burigi-Chato. Hizi ni zaidi ya kmsq 35000.
Wakati wake aliwezesha upigwaji marufuku wa mifuko ya plastiki. Bila kusahau alianzisha jumamosi ya usafi kila mwisho wa mwezi.
Apewe maua yake.
Na umesahau sifayake moja kuwa,alikua ni raisi wa masikini ambaye hakupenda raia wake watumie akilizao kutafakari kile anachokiongea.
Hao tembo walioongezeka walizaliana au aliwanunua? Na ndio rais wa kwanza duniani kuamrisha bulldozer zisombelee maji zikajaze bwawa baada ya maji kupungua ili viboko wasife
 
Back
Top Bottom