ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Kwa jicho la kawaida unaona ni Mambo ya kawaida. Ukweli ni kwamba WW3 Inakaribia.
Kinachoendelea Middle East sio cha kawaida. Ukweli ni kwamba dunia inaenda kudondoka. Mwisho wake umefika. Siraha zilizopo duniani zinatisha.
Dunia haina miaka kumi mbele. Kuna hatari kubwa mbele yako
Kinachoendelea Middle East sio cha kawaida. Ukweli ni kwamba dunia inaenda kudondoka. Mwisho wake umefika. Siraha zilizopo duniani zinatisha.
Dunia haina miaka kumi mbele. Kuna hatari kubwa mbele yako