Hatuko Salama: Vodacom kuiingilia Privacy za wateja

Mi kila nikiingiza pesa Mpesa alaf nikawasiliana na mtu ili nifanye miamala ndo muda huo huo ndo zinaingia sms za matapeli "ile hela tuma kwenye namba hii"

Sahiv hata mama yangu mzazi akiniomba hela kwa sms nampigia simu kwanza kuhakikisha Kama Ni kweli Ni yeye ndo naituma,.
 
Mkuu hakuna uhuru binafsi kwenye ulimwengu wa mawasiliano dunia nzima' kinachotokea kwako ni bugs kwa application unayotumia au mtandao husika wa mahali ulipo' Siku ukipata dharura halisi ya tatizo la kimtandao na ukapata kibali kisheria unaweza kupata msg yako ya kwanza toka umepata kitambulisho cha kupigia kura'
 
Hatuko salama even kwenye face to face conversation...dunia ya wenyewe hii
 
Mshamba wa simu huyo, kitu kidogo anakurupuka na tuhuma za Pentagon.

Hata mm huwa inatokea hivo ila ukwel ni huo kuna maneno simu inayafungia kama mabaya (abuse) ukiliweka sms haiend, ni had uende setting ya hiyo app na kuondoa ama utumie app nyingine ya kutuma na kupokea sms
 
Duniani kote mawasiliano yanakuwa tapped ukitaka acha kutumia mawasiliano ya kisasa urudi kwenye ujima. By way kama huvunji sheria za nchi kwa nini uwe na wasiwasi?
Sio kweli. Kuna app kma Signal zinazotumia end to end encryption na zinaendeshwa na non profit organization. Hata ukienda kuiba database zao huwezi soma msg ya mtu yoyote bila keys zilizopo kwenye simu ya muhusika. Na hizo keys kwenye simu ya muhusika hazionekani kirahisi rahisi.

Watakachoweza ona ni username tu labda na contacts details. Lakini content za msg hawazioni
 
Duniani kote mawasiliano yanakuwa tapped ukitaka acha kutumia mawasiliano ya kisasa urudi kwenye ujima. By way kama huvunji sheria za nchi kwa nini uwe na wasiwasi?
Kwenye point ya kutovunja sheria hapo huwezi kuwa na uhakika kuwa hujavunja sheria yoyote kupitia simu yako na matumizi yako.
Kuna makosa madogo madogo tu ambayo unachukulia simple lakini yanaweza tumiwa zidi yako kortini hata kama ulikua na kesi tofauti. Hapo unaweza ukawa umepitia akina dj mwanga na umedownload nyimbo za wasanii bila ridhaa yao, unajua kuwa hilo ni kosa kisheria? Unajua kuwa voda wanaona website url unazopitia kwenye simu yako?


Nadhani unajua watu wanavyobakiziwa kesi huku mahakamini huko kwa mambo madogo tu. Kuwa makini
 
Ndo maana sikuizi nikiwa na inshu binafsi za kuchati na mtu, namtumia link ya game mf. 8pool table. Tunachat huko ndani ya game tukimaliza kila kitu kimeishia hapo!
 
Mitandao ya simu haitunzi privacy za wateja hiyo inajulikana na nishawahi andika Uzi huku mwaka 2016.
Nakumbuka Nlikuwa natumia Tigo, mfanyakazi mmoja wa tigo by then alikuwa ananifukuzia alikuwa anasoma text zangu bila me kujua. Kuna siku akanambia everything nlivyokuwa na chat na watu ambao nlikuwa nawasiliana nao Sana.
Since then Mimi kuchat Ni WhatsApp tu hakuna third party wa kusoma text. SMS Mara moja moja Sana
 
HEBU WEKA NAMBA YA MKEO HAPA NIJARIBU NAMI KUMTUMIA MESEJI NIONE KAMA ITAGOMA AU ITAKUBALI. TUPATE UHAKIKA. maan tusije fungua kesi kumbe sivyo. TUMA NAMBA YA MKE PLEASE.
 
Hicho ulichokisema ni nadharia tu mkuu siyo uhalisia. Siku ukisoma zaidi mambo ya computer na applications zake utajua zaidi. Vyombo vya usalama duniani haviwezi kukubali kuwa na application ambayo hawana uwezo wakuijua in and out hata huyo mtengenezaji anajua loop hole zake.
 
Labda sijui uache kutumia mawasiliano ya simu.lakini akuna mtandao ama nchi isiyofatilia mawasiliano ya watu kwa ulimwengu wasasa ulivyo wa hovyo kwa usalama na mambo mengine.
 
Alizoea meseji za bure hujui vifurushi vimebadilika sasa hivi mwambie "mitano tena"
Punguza Ugolo mkuu, Sasa hapo Vodacom wamesoma meseji vipi ?


Kwanini usingeuliza unapotuma meseji haziendi tatizo ni Nini ili usaidiwe!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…