Hatukufungwa, ila tumekubali kuwa tumenyimwa kombe

Hatukufungwa, ila tumekubali kuwa tumenyimwa kombe

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Baada ya kufungana aggregate ya 2-2, Algeria imepewa kombe kwa vile walitufunga hapa kwetu bao moja zaidi. Ni sheria za CAF ambazo zimepitwa na wakati kwa vile kama wote tulivyoona mazingira ya Mkapa Stadium yalikuwa ya kistaarabu ila mazingira ya July 5 Stadium ulikuwa ya kishenzi sana kiasi kuwa ilibidi refarii asimamishe mchezo ili kupisha moshi uliokuwa unajaa uwanjani kiasi cha kuwafanya wachezaji wasione mpira.

Hata hivyo tulimaliza mashindano kwa kufungana 2-2; ukweli huo hauwezi kufutika ingawa ukweli mwingine ni kuwa 2-2 yetu haikutosha kutupatia kombe kutokana na utaratibu mbovu wa CAF uliopitwa na wakati. UEFA, AFC, CONCACAF, CONMEBOL na OFC hawana upuuzi huo tena.
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Tukiondoa Ushabiki Wa Timu zetu Pendwa Yanga Na Simba Tuongee kama wadau wa mpira Hii sheria ya Awey Goal Inabidi Iangaliwe Ifutwe Maana inaifanya hii michuano kuwa na mambo yasiyovutiaa.

Halafu kingine ndugu zetu waafrika weupe wanaharibu mno mpira wanaufanya uonekane kama mchezo wa mashoga wakishida wanakuwa na makusudi ya kupoteza muda na wakati mpira ni mchezo wa nguvu, wao wanajilaza laza tu ni aibu mfano jana hata mabara mengine wakiona wanajuwa hapa hamna kitu
 
Hili la Goal away, ndo liliondosha Mamelod semi final CAFCL mwaka huu. Niliumia mnooo
 
Wakati mnaingia kwenye mashindano hamkulijua hilo??? Faida na athari zake??

Baada ya kufungana aggregate ya 2-2, Algeria imepewa kombe kwa vile walitufunga hapa kwetu bao moja zaidi. Ni sheria za CAF ambazo zimepitwa na wakati kwa vile kama wote tulivyoona mazingira ya Mkapa Stadium yalikuwa ya kistaarabu ila mazingira ya July 5 Stadium ulikuwa ya kishenzi sana kiasi kuwa ilibidi refarii asimamishe mchezo ili kupisha moshi uliokuwa unajaa uwanjani kiasi cha kuwafanya wachezaji wasione mpira.

Hata hivyo tulimaliza mashindano kwa kufungana 2-2; ukweli huo hauwezi kufutika ingawa ukweli mwingine ni kuwa 2-2 yetu haikutosha kutupatia kombe kutokana na utaratibu mbovu wa CAF uliopitwa na wakati. UEFA, AFC, CONCACAF, CONMEBOL na OFC hawana upuuzi huo tena.
 
Baada ya kufungana aggregate ya 2-2, Algeria imepewa kombe kwa vile walitufunga hapa kwetu bao moja zaidi. Ni sheria za CAF ambazo zimepitwa na wakati kwa vile kama wote tulivyoona mazingira ya Mkapa Stadium yalikuwa ya kistaarabu ila mazingira ya July 5 Stadium ulikuwa ya kishenzi sana kiasi kuwa ilibidi refarii asimamishe mchezo ili kupisha moshi uliokuwa unajaa uwanjani kiasi cha kuwafanya wachezaji wasione mpira.

Hata hivyo tulimaliza mashindano kwa kufungana 2-2; ukweli huo hauwezi kufutika ingawa ukweli mwingine ni kuwa 2-2 yetu haikutosha kutupatia kombe kutokana na utaratibu mbovu wa CAF uliopitwa na wakati. UEFA, AFC, CONCACAF, CONMEBOL na OFC hawana upuuzi huo tena.
Baada ya kushindwa imepitwa na wakati
 
Baada ya kufungana aggregate ya 2-2, Algeria imepewa kombe kwa vile walitufunga hapa kwetu bao moja zaidi. Ni sheria za CAF ambazo zimepitwa na wakati kwa vile kama wote tulivyoona mazingira ya Mkapa Stadium yalikuwa ya kistaarabu ila mazingira ya July 5 Stadium ulikuwa ya kishenzi sana kiasi kuwa ilibidi refarii asimamishe mchezo ili kupisha moshi uliokuwa unajaa uwanjani kiasi cha kuwafanya wachezaji wasione mpira.

Hata hivyo tulimaliza mashindano kwa kufungana 2-2; ukweli huo hauwezi kufutika ingawa ukweli mwingine ni kuwa 2-2 yetu haikutosha kutupatia kombe kutokana na utaratibu mbovu wa CAF uliopitwa na wakati. UEFA, AFC, CONCACAF, CONMEBOL na OFC hawana upuuzi huo tena.
Tugange yajayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiondoa Ushabiki Wa Timu zetu Pendwa Yanga Na Simba Tuongee kama wadau wa mpira Hii sheria ya Awey Goal Inabidi Iangaliwe Ifutwe Maana inaifanya hii michuano kuwa na mambo yasiyovutiaa.

Halafu kingine ndugu zetu waafrika weupe wanaharibu mno mpira wanaufanya uonekane kama mchezo wa mashoga wakishida wanakuwa na makusudi ya kupoteza muda na wakati mpira ni mchezo wa nguvu, wao wanajilaza laza tu ni aibu mfano jana hata mabara mengine wakiona wanajuwa hapa hamna kitu
Mlizoea kudekezwa na TFF hiyo sheria ilikuwepo muda mrefu Simba alipotolewa na Ud Songo na Ile timu ya Botswana mlishangilia hatukuwasikia mkisema sheria ifutwe tabia zenu kama nashindwa kumalizia
 
Back
Top Bottom