Hatupeleki ndugu zetu hispitali ili wakafe, Serikali ielewe hilo

Kuweni na shukurani ndugu zanguni kwa kazi kubwa na ya kutukuka inayofanywa na Rais wetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Hivi wewe inakuwa serious kusifia kila kitu hata penye upungufu?
Utakuwa MTU wa ajabu Sana.
Kwa Nini usizungumzia mada husika kuhusu huduma za afya tz?
Hata unayemsifia atakuwa anakushangaaa,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…