Hatupeleki Timu uwanjani na hakuna kitu mtafanya

Hatupeleki Timu uwanjani na hakuna kitu mtafanya

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Najua mnajua enyi uto mlichokifanya mlijua fika madhara yake, sasa kama mliadhimia Simba asifanye mazoezi ya mwisho, kwa nini mnalazimisha acheze hivyo hivyo? Au mlijua majini mliyoyazindika uwanjani yangeoneka ( mkajikuta mnavunja miiko ya mganga wenu)?

Sisi sio wanyonge kiasi hicho, TFF na Board ya league mmemdekeza sana utopolo, sisi tunasema kama mbwai na iwe mbwai , hatupeleki timu uwanjani na hakuna kitu mtatufanya
 
Najua mnajua enyi uto mlichokifanya mlijua fika madhara yake, sasa kama mliadhimia Simba asifanye mazoezi ya mwisho, kwa nini mnalazimisha acheze hivyo hivyo? Au mlijua majini mliyoyazindika uwanjani yangeoneka ( mkajikuta mnavunja miiko ya mganga wenu)?

Sisi sio wanyonge kiasi hicho, TFF na Board ya league mmemdekeza sana utopolo, sisi tunasema kama mbwai na iwe mbwai , hatupeleki timu uwanjani na hakuna kitu mtatufanya
Ushamba na uchawa unakutesa
 
Mabadiliko katika nchi yanaanzaga kama utani. Utashangaa hii "attitude" ya kusimamia haki inaingia hadi siasani. Watu wanahitaji kuamini tu kuwa INAWEZEKANA.
 
Mechi ya kwanza simba alikuwa mwenyeji ila mbona Yanga hakufanya mazoezi na hakugomea mechi ?

Acheni uoga wa kufungwa
 
Simba mliambiwa mfanye usajili mkawa mnafanya mchezo sasa mnapata aibu iliyo tarajiwa.

Mechi itasogezwa mbele lakini haita ondoa kufungwa na Yanga.
Ni swala la muda tu , lakini kipigo kiko palepale tena dozi ya leo ilikua ndogo.

Dozi ijayo itakua balaa kubwa.
 
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.

Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Ki ukweli simba waungwe mkono na timu zote ligi kuu,simba akienda uwanjani hao gsm Wataona Wana haki ya kunyonga Ili wapate ponts 3 ila walipe faini,ni mara ngapi mechi za simba na yanga wao yanga wanapita mlango siyo lakini wanaishia kulipa faini? Chana akiwa simba aliwahi kusema "yanga wanajua kucheza dabi Kwa maana ya nje ya uwanja.
 
Back
Top Bottom