Hatushikiki, hatuzuiliki, hatukamatiki!

Nchi iingie machafuko kwasababu ya umbumbumbu wa umakoloni? KOLO wizards waiingize nchi kwenye machafuko? Ningekuwa mtawala ningeamuru mashabiki wa simba wote wapimwe akili bure. Na ikiwezekana watengwe karantini Kwa siku Saba Kwa uchunguzi zaidi huenda wakawa na homa mpya .
 
We mbwa unachobwekea hapa nini forum ya wazi acha watu wateme nyongo zao kama umeumia kalime pori lenu geza ulole
 
Ungeanza kupima akili wale walioitwa manyani, mambwa wanabweka bweka hovyo kama wewe
 
Kwa masikitiko kabisa na kwa mara ya kwanza in history chini ya uongozi wa Barba SSC imedhalilika na kupata aibu ya mwaka.
Utopolo kutaka Babra aondoke ni sawa na na CCM walivyotaka Mbowe aondoke CDM...
 
Eti vitimu vinavyochipukia kama yanga,sasa kwa hali inayoendelea simba ipi ndo timu inayochipukia???hayo mafanikio unayoyasema ni yapi? Hata wachezaji mnaowataka mnashindwa kusajili,huo ukubwa unaosema ni up?club kubwa hupimwa kwa matendo na mienendo sahihi viongozi simba hawana
Uweledi kabisa,club imekuwa kama chimbo la wahuni kadhaa,club za familia zinaendeshwa kiajabu ajabu,kipindi huyo Barbara anakuwa kiongozi hapo simba alitokea timu gani??au kwakuwa anavyeti ndo kawa kiongozi ??uhuni mwingi nabado tutaona mengi
 
Makasiriko yenu Yanga wanahusikaje au ndio Yanga wamemnunua Huyo CEO wenu maana nyinyi kila utumbo wanaofanya viongozi wenu au timu utasikia Yanga ndio wahusika 😝😝 tatizo lingine mnaaminishwa timu yenu kubwa kiasi cha kujifananisha na Al Ahly ili hali hata kombe moja la Afrika haijachukua nonsense kabisa upuuzi wanaofanya hao wakina Babra unadhan Al Ahly watathibutu ? Tulieni dawa iingie πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unateseka ukiwa wapi? Umevurugwa .
 
Huwezi kumpima aliyeita,hapa umekuja kutuonesha umbumbumbu wako jinsi ulivyo.
Ulitaka tuwapime wapi wakati kocha wenu alijua ni manyani mambwa mnabweka bweka hovyo?
Hata yule chezaji lenu mwanafunzi aliehitimu mafunzo yake msimbazi alisema uto wengi hamjui kusoma?
Kwamba hapo utopoloni wenye akili bado wako wawili tu hata aliekuwa semaji lenu sukule hayumo?
 
Sawa mbumbumbu msomi
 
Barbara amegundua mashabiki wa hiyo timu ni mambumbu ndo mana anawaburuza na ataburuza sana nyie mambumbumbu
 
Yani toka wasio na akili kujua kwamba mbumbu anamzidi kila kitu basi wameamua kujitoa akili japo mbili walizokua nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…