Hatutakagi ma-handsome, huwa tunapenda weusi, tunapenda vibamia, hogo linaumiza

Hahahaaa!
Wako hoooot.
I think kwa kigezo cha sexy body sawa coz most of black gentleman's wako kidogo na body lakuvutia than white,pia wana swag za kiume sana tofauti na ma white wengi wanamiili ya kikekike sana na swag za kidemdem(i.e kuringa sana) .
So unakuta mnapenda boga (body na swag) basi inakua lazima mpende na ua lake (weusi wake )

hayo ni mawazo yangu mrembo,
 
mwanaume mweusi ni no nyinginge my super man mi mweus kila saa nahis kuibiwa maana
I think kwa kigezo cha sexy body sawa coz most of black gentleman's wako kidogo na body lakuvutia than white,pia wana swag za kiume sana tofauti na ma white wengi wanamiili ya kikekike sana na swag za kidemdem(i.e kuringa sana) .
So unakuta mnapenda boga (body na swag) basi inakua lazima mpende na ua lake (weusi wake )

hayo ni mawazo yangu mrembo,
 
Hogo halafu hana hela ya tax/hana gari yakukupeleka home, hela ya supu na matunda hana! Unajitafutia ulemavu.
 
888[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…