Hatutaki Akope wala hatutaki Tozo! Noma Sana!

Hatutaki Akope wala hatutaki Tozo! Noma Sana!

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
HATUTAKI AKOPE! WALA HATUTAKI TOZO!

Anaandika, Robert Heriel

Nikiwashauri tuvamie mataifa mengine mnaniona Popoma! Mnaona siwezi kufikiri vizuri! Sawa bhana! Ipo siku mtanielewa hata Kwa kuchelewa. Jueni kuwa Taikon hafikirii akiwa ananjaa au akiwa ameshiba. Ninafikiria nikiwa nimetuliza kichwa changu. Sinaga ushabiki Mimi! Wala sina muda wa kupendelea.

Hii nchi hata aje aichukue Malaika kuendelea itahitajika itumie Sera za Uvamizi kivyovyote vile. Iwe Uvamizi wa kiteknolojia, kibiashara, kimichezo, kiburudani, kivita, na mizengwe ya hapa na pale.

Oooh! Anakopa!
Oooh! Nchi itapigwa Mnada!
Oooh! Kazi kuzurura kutembeza Bakuli!

Ndio tunakataa mikopo, tunauweza muziki wa kujitegemea?
Hakuna asiyejua muziki wa kujitegemea hapa.
Kijana aliyemaliza tuu Chuo kikuu licha ya kuwa na maarifa na elimu kubwa lakini mpaka ajitegemee yahitaji kazi ya ziada. Sembuse Nchi.

Kujitegemea inahitaji kukamuana, kupasuana, kuminyana,
Tozo kila mahali!
Tozo kwenye Mdomo, tozo kwenye masikio, tozo puani, tozo machoni tozo kila mahali hayo ndio mambo ya kujitegemea.

Kama nilivyowahi kusema hapo nyuma, Kama tunataka Kupunguza makali ya maisha basi hatuna budi kuvamia Maeneo mengine kivyovyote bila huruma.
Vinginevyo tutaumizana wenyewe Ka wenyewe bila huruma.

Tusipovamia tutavamiwa
Kwani bado Sisi nivipofu? Hatuoni Raia WA kigeni wakija kutamba katika Ardhi yetu wenyewe? Hatuoni!
Hatuoni makampuni Makubwa mengi yanashikiliwa na wageni, Hilo hatuoni?

Hizi tozo na Kodi zitazidi maradufu Kama tusipokaa macho kusuka mipango ya kusaidia wananchi wetu.

Wazungu wanaijua vyema kanuni hii. Wameivamia dunia. Wanatunga sheria Kali zinazowasaidia wao kuvamia mataifa mengine alafu ngumu Kwa wao kuvamiwa.

Uvamizi uwe wimbo wetu!
Uvamizi uwe ndio maono ya viongozi wetu wajao.

Ni rahisi kumkuta Mkenya akiwa hapa TANZANIA akifanya kazi zake Kama Mwalimu, au Daktari, n.k. lakini ni ngumu Kwa Mtanzania kuwa Mwalimu wa Kenya.
Unajua Kwa nini?
Sababu ni mtazamo, falsafa, fikra zetu na wenzetu zipo tofauti.

Tuangalie Wanaijeria, Wahindi, Wachina n.k.

Kama hatutaki Kukopa iweje tukatae Kodi nyingi na tozo hata kama hazina kichwa wala miguu?

Nipumzike sasa mpaka siku Kiongozi mwenye fikra Kama zangu atakapowasili.
Majeshi mbele, wanaume mbele! Popote palipo na fursa tunapiga.
Haramu kwetu hatutumii halali kwao tunawauzia.
Uzia mataifa mengine Bangi ikiwa yanatumia. Kama kwetu ni haramu kwao sio haramu. Hiyo ni fursa. Nini kinazuia.

Mnataka Nani Aamue mambo madogo Kama hayo? Au mpaka Wazungu waseme?
Au labda ni biashara ya watu Fulani wakubwa?

SABATO NJEMA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Ukiwasikiliza wabongo hutafanya lolote. Mama akaze palepale hakuna kuondoa tozo
 
Toa upuuzi wako hapa,Wewe na njaa zako ndio utatoa pesa?
HATUTAKI AKOPE! WALA HATUTAKI TOZO!

Anaandika, Robert Heriel

Nikiwashauri tuvamie mataifa mengine mnaniona Popoma! Mnaona siwezi kufikiri vizuri! Sawa bhana! Ipo siku mtanielewa hata Kwa kuchelewa. Jueni kuwa Taikon hafikirii akiwa ananjaa au akiwa ameshiba. Ninafikiria nikiwa nimetuliza kichwa changu. Sinaga ushabiki Mimi! Wala sina muda wa kupendelea.

Hii nchi hata aje aichukue Malaika kuendelea itahitajika itumie Sera za Uvamizi kivyovyote vile. Iwe Uvamizi wa kiteknolojia, kibiashara, kimichezo, kiburudani, kivita, na mizengwe ya hapa na pale.

Oooh! Anakopa!
Oooh! Nchi itapigwa Mnada!
Oooh! Kazi kuzurura kutembeza Bakuli!

Ndio tunakataa mikopo, tunauweza muziki wa kujitegemea?
Hakuna asiyejua muziki wa kujitegemea hapa.
Kijana aliyemaliza tuu Chuo kikuu licha ya kuwa na maarifa na elimu kubwa lakini mpaka ajitegemee yahitaji kazi ya ziada. Sembuse Nchi.

Kujitegemea inahitaji kukamuana, kupasuana, kuminyana,
Tozo kila mahali!
Tozo kwenye Mdomo, tozo kwenye masikio, tozo puani, tozo machoni tozo kila mahali hayo ndio mambo ya kujitegemea.

Kama nilivyowahi kusema hapo nyuma, Kama tunataka Kupunguza makali ya maisha basi hatuna budi kuvamia Maeneo mengine kivyovyote bila huruma.
Vinginevyo tutaumizana wenyewe Ka wenyewe bila huruma.

Tusipovamia tutavamiwa
Kwani bado Sisi nivipofu? Hatuoni Raia WA kigeni wakija kutamba katika Ardhi yetu wenyewe? Hatuoni!
Hatuoni makampuni Makubwa mengi yanashikiliwa na wageni, Hilo hatuoni?

Hizi tozo na Kodi zitazidi maradufu Kama tusipokaa macho kusuka mipango ya kusaidia wananchi wetu.

Wazungu wanaijua vyema kanuni hii. Wameivamia dunia. Wanatunga sheria Kali zinazowasaidia wao kuvamia mataifa mengine alafu ngumu Kwa wao kuvamiwa.

Uvamizi uwe wimbo wetu!
Uvamizi uwe ndio maono ya viongozi wetu wajao.

Ni rahisi kumkuta Mkenya akiwa hapa TANZANIA akifanya kazi zake Kama Mwalimu, au Daktari, n.k. lakini ni ngumu Kwa Mtanzania kuwa Mwalimu wa Kenya.
Unajua Kwa nini?
Sababu ni mtazamo, falsafa, fikra zetu na wenzetu zipo tofauti.

Tuangalie Wanaijeria, Wahindi, Wachina n.k.

Kama hatutaki Kukopa iweje tukatae Kodi nyingi na tozo hata kama hazina kichwa wala miguu?

Nipumzike sasa mpaka siku Kiongozi mwenye fikra Kama zangu atakapowasili.
Majeshi mbele, wanaume mbele! Popote palipo na fursa tunapiga.
Haramu kwetu hatutumii halali kwao tunawauzia.
Uzia mataifa mengine Bangi ikiwa yanatumia. Kama kwetu ni haramu kwao sio haramu. Hiyo ni fursa. Nini kinazuia.

Mnataka Nani Aamue mambo madogo Kama hayo? Au mpaka Wazungu waseme?
Au labda ni biashara ya watu Fulani wakubwa?

SABATO NJEMA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Taikoni wa mazafanta.

Asiyetaka kukaa au kusimama mwambie achuchumae au alale.
 
HATUTAKI AKOPE! WALA HATUTAKI TOZO!

Anaandika, Robert Heriel

Nikiwashauri tuvamie mataifa mengine mnaniona Popoma! Mnaona siwezi kufikiri vizuri! Sawa bhana! Ipo siku mtanielewa hata Kwa kuchelewa. Jueni kuwa Taikon hafikirii akiwa ananjaa au akiwa ameshiba. Ninafikiria nikiwa nimetuliza kichwa changu. Sinaga ushabiki Mimi! Wala sina muda wa kupendelea.

Hii nchi hata aje aichukue Malaika kuendelea itahitajika itumie Sera za Uvamizi kivyovyote vile. Iwe Uvamizi wa kiteknolojia, kibiashara, kimichezo, kiburudani, kivita, na mizengwe ya hapa na pale.

Oooh! Anakopa!
Oooh! Nchi itapigwa Mnada!
Oooh! Kazi kuzurura kutembeza Bakuli!

Ndio tunakataa mikopo, tunauweza muziki wa kujitegemea?
Hakuna asiyejua muziki wa kujitegemea hapa.
Kijana aliyemaliza tuu Chuo kikuu licha ya kuwa na maarifa na elimu kubwa lakini mpaka ajitegemee yahitaji kazi ya ziada. Sembuse Nchi.

Kujitegemea inahitaji kukamuana, kupasuana, kuminyana,
Tozo kila mahali!
Tozo kwenye Mdomo, tozo kwenye masikio, tozo puani, tozo machoni tozo kila mahali hayo ndio mambo ya kujitegemea.

Kama nilivyowahi kusema hapo nyuma, Kama tunataka Kupunguza makali ya maisha basi hatuna budi kuvamia Maeneo mengine kivyovyote bila huruma.
Vinginevyo tutaumizana wenyewe Ka wenyewe bila huruma.

Tusipovamia tutavamiwa
Kwani bado Sisi nivipofu? Hatuoni Raia WA kigeni wakija kutamba katika Ardhi yetu wenyewe? Hatuoni!
Hatuoni makampuni Makubwa mengi yanashikiliwa na wageni, Hilo hatuoni?

Hizi tozo na Kodi zitazidi maradufu Kama tusipokaa macho kusuka mipango ya kusaidia wananchi wetu.

Wazungu wanaijua vyema kanuni hii. Wameivamia dunia. Wanatunga sheria Kali zinazowasaidia wao kuvamia mataifa mengine alafu ngumu Kwa wao kuvamiwa.

Uvamizi uwe wimbo wetu!
Uvamizi uwe ndio maono ya viongozi wetu wajao.

Ni rahisi kumkuta Mkenya akiwa hapa TANZANIA akifanya kazi zake Kama Mwalimu, au Daktari, n.k. lakini ni ngumu Kwa Mtanzania kuwa Mwalimu wa Kenya.
Unajua Kwa nini?
Sababu ni mtazamo, falsafa, fikra zetu na wenzetu zipo tofauti.

Tuangalie Wanaijeria, Wahindi, Wachina n.k.

Kama hatutaki Kukopa iweje tukatae Kodi nyingi na tozo hata kama hazina kichwa wala miguu?

Nipumzike sasa mpaka siku Kiongozi mwenye fikra Kama zangu atakapowasili.
Majeshi mbele, wanaume mbele! Popote palipo na fursa tunapiga.
Haramu kwetu hatutumii halali kwao tunawauzia.
Uzia mataifa mengine Bangi ikiwa yanatumia. Kama kwetu ni haramu kwao sio haramu. Hiyo ni fursa. Nini kinazuia.

Mnataka Nani Aamue mambo madogo Kama hayo? Au mpaka Wazungu waseme?
Au labda ni biashara ya watu Fulani wakubwa?

SABATO NJEMA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Huu uchafu ndio unajiita taikon wa fasihi ungefanya kwanza utafiti kwanza kabla haujaja kuandika ujinga huu kinacholalamikiwa hasa zaidi ni matumizi ya hizo tozo Mh rais anajua kabisa Baraza lake la mawaziri lina wanakula Sana "mafisadi" lakini hatuoni hatua zote anazochukua
 
Huu uchafu ndio unajiita taikon wa fasihi ungefanya kwanza utafiti kwanza kabla haujaja kuandika ujinga huu kinacholalamikiwa hasa zaidi ni matumizi ya hizo tozo Mh rais anajua kabisa Baraza lake la mawaziri lina wanakula Sana "mafisadi" lakini hatuoni hatua zote anazochukua

Sio lazima uelewe nilichoandika.
 
Sio lazima uelewe nilichoandika.
Lakini nadhani hakupingi Ila anasema matumizi ya tozo hayaeleweki, ufisadi mwingi. Matumizi ya tozo yangewekwa wazi, kilichokusanywa, kilichotumika, kwa ajili ya Nini, watu wangepata moyo na kuridhika, lakini siyo Waziri wa fedha anaimba tozo, matumizi hayaeleweki huku yeye akimiliki timu ya mpira ya wachezaji wenye mishahara mikubwa! Hapo tozo haitaeleweka!
 
Wewe nyumbani kwako unaendesha familia kwa mikopo na kukusanya tozo?
 
Nchi ina vyanzo vingi vya mapato sio lazima akamuliwe mwananchi kama ilivyo hivisasa tuna MADINI,bandari za kutosha,utalii,makaa ya mawe na mazao ya biashara ya kuingiza kipato Kwa taifa zima..
HAO wenzetu wameendelea Kwa kubana matumizi tofauti na Sisi wabunge wetu na viongozi wa serikali wanalipana Kodi zetu.

kudhibiti wizi wameshindwa hata kama watakusanya Kodi Kwa asilimia 100 bado pesa zote zitapotea Kwa ujinga wa CCM
 
Back
Top Bottom