Hatutaki Kutangaza Kauzwa mpaka atujazie Uwanja tarehe 22 July, 2023 kwani tukitangaza sasa Watu hawatajitokeza

Hatutaki Kutangaza Kauzwa mpaka atujazie Uwanja tarehe 22 July, 2023 kwani tukitangaza sasa Watu hawatajitokeza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa hii Mbinu Jezi #6 FC nawasifu hakika Marketing mnaijua kuifanya vyema.

Mlianza kwa Kumvalisha Jezi yenu mpya ya 'Magemu Magemu' ili Kuwaaminisha Mashabiki.

Wafuatiliaji wa mambo tunajua kuwa tayari ni DONE DEAL Uarabuni ila mmeuchuna Kutangaza na mkalianzisha la Chama ili Kufunika bado wenye Akili tunawachora tu.

Tayari mmeshapokea Mabilioni ya Mwarabu hamtaki Kutangaza mkihofia kuwa mkimtangaza leo Uwanjani mtakuja nyie na Familia zenu tu ila Mashabiki hawatokuja kwani watakuwa na Hasira ya kwanini Mtikisa Manyonyo wao na Kipenzi chao Kauzwa na Kaondoka?

Haya ngoja nami GENTAMIYCINE nijiandae Kushangilia Jezi Mpya itakayozinduliwa Kileleni huku Kende zikiwa Zimeganda na yenyewe pia Kuganda.

Fungu la Pili la Watalii wa Uturuki limeondoka Jana Asubuhi na la Tatu GENTAMYCINE naweza Kuongozana nalo Jumatano huku Kocha Mkuu akiwa Brazinyo, Semaji Kileleni Kilimanjaro na Jezi mpya zikiwa katika Begi la Sokoni Ilala Mchikichini.

Mpira wa Tanzania ni Burudani tosha.
 
Imeenda hiyo
FB_IMG_1689657869957.jpg
 
Hahahahahah Uzi wa Leo Genta umenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani mchezaji kua mkopo ni ajabu,
Sio Ajabu Lakini Sema Wazi mapema Kieleweke....Mbona Baleke ilielezwa mapema ni Wa Mkopo na Maisha yanaendelea.

Sasa huyu Viongozi Walinyuti Kimya Kama Vile Walimnunua, ishu inakuja Kubumbuluka mwishoni
 
Haya ngoja nami GENTAMIYCINE nijiandae Kushangilia Jezi Mpya itakayozinduliwa Kileleni huku Kende zikiwa Zimeganda na yenyewe pia Kuganda.

Hapa ndio nimekuelewa vyema bana kubwaaa..
 
Sio Ajabu Lakini Sema Wazi mapema Kieleweke....Mbona Baleke ilielezwa mapema ni Wa Mkopo na Maisha yanaendelea.

Sasa huyu Viongozi Walinyuti Kimya Kama Vile Walimnunua, ishu inakuja Kubumbuluka mwishoni
Hao ni waongo waongo...
 
Kwa hii Mbinu Jezi #6 FC nawasifu hakika Marketing mnaijua kuifanya vyema.

Mlianza kwa Kumvalisha Jezi yenu mpya ya 'Magemu Magemu' ili Kuwaaminisha Mashabiki.

Wafuatiliaji wa mambo tunajua kuwa tayari ni DONE DEAL Uarabuni ila mmeuchuna Kutangaza na mkalianzisha la Chama ili Kufunika bado wenye Akili tunawachora tu.

Tayari mmeshapokea Mabilioni ya Mwarabu hamtaki Kutangaza mkihofia kuwa mkimtangaza leo Uwanjani mtakuja nyie na Familia zenu tu ila Mashabiki hawatokuja kwani watakuwa na Hasira ya kwanini Mtikisa Manyonyo wao na Kipenzi chao Kauzwa na Kaondoka?

Haya ngoja nami GENTAMIYCINE nijiandae Kushangilia Jezi Mpya itakayozinduliwa Kileleni huku Kende zikiwa Zimeganda na yenyewe pia Kuganda.

Fungu la Pili la Watalii wa Uturuki limeondoka Jana Asubuhi na la Tatu GENTAMYCINE naweza Kuongozana nalo Jumatano huku Kocha Mkuu akiwa Brazinyo, Semaji Kileleni Kilimanjaro na Jezi mpya zikiwa katika Begi la Sokoni Ilala Mchikichini.

Mpira wa Tanzania ni Burudani tosha.
Popoma on ze pik
 
Ni Makudubela,ana miaka33 ni free agent kutoka malumo gallants,kamaliza msimu ana mechi 22 goli mbili na assist 2.
 
Sio Ajabu Lakini Sema Wazi mapema Kieleweke....Mbona Baleke ilielezwa mapema ni Wa Mkopo na Maisha yanaendelea.

Sasa huyu Viongozi Walinyuti Kimya Kama Vile Walimnunua, ishu inakuja Kubumbuluka mwishoni
Usipo tanganza unakua umevunja sheria ipi? sababu mimi nisha msikia Mayele anasema hayupo kwa mkopo unataka tukuamini wewe?
 
Usipo tanganza unakua umevunja sheria ipi? sababu mimi nisha msikia Mayele anasema hayupo kwa mkopo unataka tukuamini wewe?

We hushangai Pyramid Ya Misri badala ya Kuzungumza na Yanga,Wameenda kuzungumza na Meniama Fc..!

Kwenye biashara hii ,Yanga imetaarifiwa tu kuwa Bei aliyouzwa ni hii na nyinyi Yanga pesa yenu ya Asante kwa kumpa nafasi ya kuonyesha kipaji chake ni hii....!

Kwa jinsi alivyowasaidia kama angekuwa Sio wa mkopo asubuuutu walai asingeondoka..!
Fei Toto tu mlishindwa kumuachia mpaka Samia kaingilia Kati , ndo ingekuwa Mayele.!
 
Back
Top Bottom