Tume huru ya uchaguzi ndio itamuinua huyu Rais aliyepatikana kwa Mujibu wa katiba iliyopo, na kama kweli waTanzania wamemkubali basi muamuzi ni Tume huru ya uchaguzi isio na doa, lakini haya yanayoendelea ni geresha kwenye mazingahombwe ya CCM.
2025 noma sana, uhakika wa Rais Samia mzanzibari mkaazi ambaae ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kupitia muongozo wa katiba na vifungu vyake atakuwa Rais mchaguliwa na wananchi kupitia sanduku la kura, pale tu wananchi watakapojiridhisha upigaji kura ulikuwa tofauti miaka yote iliyopita.
Uchaguzi halali ndio uchaguzi utakaomfanya Rais atembee kifua mbele bila ya hisia ndani ya Moyo wake kuwa sikuchaguliwa kihalali
Tuseme tu na tukubali kama ni Bahati basi Mheshimiwa Samia amepata au ameipata, kwakuwa kipindi hiki ni cha kujijenga kuelekea uchaguzi wa 2025, fursa ambayo wagombea wapya huwa hawaipati.
Kuiteka mioyo ya wapiga kura kwa upande wake ni rahisi sana sana na anachotakiwa aoneshe mapenzi ya dhati kwa wananchi bila ya kuwabagua kikanda, kichama au makabila, masikini au matajiri.
Tume huru ndio itakayomsafisha kama amekubalika au la, lakini kwa kulazimishana kwamba ni yeye tu mkitaka msitake, mbona laana itamuangukia tena ya aibu kuliko waliopita.
2025 noma sana, uhakika wa Rais Samia mzanzibari mkaazi ambaae ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kupitia muongozo wa katiba na vifungu vyake atakuwa Rais mchaguliwa na wananchi kupitia sanduku la kura, pale tu wananchi watakapojiridhisha upigaji kura ulikuwa tofauti miaka yote iliyopita.
Uchaguzi halali ndio uchaguzi utakaomfanya Rais atembee kifua mbele bila ya hisia ndani ya Moyo wake kuwa sikuchaguliwa kihalali
Tuseme tu na tukubali kama ni Bahati basi Mheshimiwa Samia amepata au ameipata, kwakuwa kipindi hiki ni cha kujijenga kuelekea uchaguzi wa 2025, fursa ambayo wagombea wapya huwa hawaipati.
Kuiteka mioyo ya wapiga kura kwa upande wake ni rahisi sana sana na anachotakiwa aoneshe mapenzi ya dhati kwa wananchi bila ya kuwabagua kikanda, kichama au makabila, masikini au matajiri.
Tume huru ndio itakayomsafisha kama amekubalika au la, lakini kwa kulazimishana kwamba ni yeye tu mkitaka msitake, mbona laana itamuangukia tena ya aibu kuliko waliopita.