MiCCM inawachezea sharubu viongozi wa Upinzani wakijua connection between them na wanachama wao ni dhaifu haina mashiko ,hadi leo CHADEMA hawajaweza kuprove kama wanachama wao wapo tayari kusikiliza amri zao kama ilivyokuwa kwenye CUF ya Maalim Seif.
Unaita watu waandamane wewe unaenda kujificha kwenye balozi za nchi za nje tiketi mkononi ,hivi mwanachama atakufahamu vipi wewe kiongozi ,ndio pale inaposemwa wanachama wanatumika kama ngazi,
Hata hivyo wapo akina Mbowe huenda wakaweza kuipata connection ya wananchi na kuanza kurindima tena. Lakini kwa hii itikadi ya kijiditali naona kama ni udhaifu.
Tume huru ya uchaguzi ni haki ya wananchi ni lazima iwepo na ipingwe kwa hali na mali kwa watu wake kuchaguliwa na Raisi hivyo kuaminisha kuwa waliokuwemo ndani ya Tume ni watumwa na watumwa hufuata amri na humtumikia bwana wao tu.