Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!


i see jambo limezua mambo
 
Unajua sijui wanaangalia nini,coz kabisa anasema nimeoa but but but but.....................
Bora utongozwe na watu wasio na ndoa but mtu ameoa,do we look or sound like home-breaker's?????
Hell No!GOD FORBID!!




Umesomeka mama,subiri tu PM ya Paka Mweusi sasa.......
 

Halafu hiyo mibaba inayomtongoza ni ya JF peke yake tuuuu???
 
mmh nimesoma nimeguna tu
Kumbe mambo ndo yalivyo
Sihitaji wala sipendi kuonana na JF member ili tufahamiane
Sijawahi kuhisi hili
Kuna mitego zaidi ya kutongozana
 

Mie siogopi ukinitongoza nakuchomolea kwa mbali tunaendelea kunywa Tusker moto
 
mmh nimesoma nimeguna tu
Kumbe mambo ndo yalivyo
Sihitaji wala sipendi kuonana na JF member ili tufahamiane
Sijawahi kuhisi hili
Kuna mitego zaidi ya kutongozana

Nusura nikuanzishie thread kesho. Hujambo???
 

Kila mtu ana approach yake ya ku-deal na jambo si lazima wote tu-delete bila kusoma naweza delete msg muhimu............
Approach yangu ni hii,kuweka tu clear, am not a home-breaker and i do not want my inbox full of messages requesting me to be a concubine.
I would love to make friends not to be someones concubine!!!!
 
Siku hizi majibaba yana2mia hesabu hii hapa!!!

Mke wa Mtu/Mume wa Mtu: Jibu lake ni MKE an MUME!!!

Unajua sijui wanaangalia nini,coz kabisa anasema nimeoa but but but but.....................
Bora utongozwe na watu wasio na ndoa but mtu ameoa,do we look or sound like home-breaker's?????
Hell No!GOD FORBID!!
 

Kudelete bila kusoma zinachosha unasoma heading tu unachoka uanona ya nini??? Za muhimu unazijua.

Kama hutaki si umkatalie huko alikokutongozea kwani ilikuwa hapa???
 
huyu hakumpenda ndo maana anataka kumchana live humu ingekuwa kinyuma ungesikia uko wapi n pm KIBAO acha utoto
 
I real dnt think wat u wroote is real wat u meant!Girls,ladies,woman,lets try to respect ourselves,tuongee vitu vya kujenga na kutufunza na kufunza familia zetu na wenzetu,kiukweli mada hii kwangu ni ya kuaibisha mno,haijengi maana kwa kuongelea hapa kwamba wababa wanakufataki and ww ni storong lady I real dnt :confused2::confused2::confused2:,tunajishushia heshima wenyewe na kujidharau kwakweli,kuna wengine kupitia hapa wamepata wake/waume,ndugu jamaa na marafiki,sina maana mby kusema hivi but as a lady nadhani ulipaswa kuongea na muhusika and if u cnt ungetafuta mtu wa karibu basi kuliko wat u did ol in ol frm me ni πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:πŸ˜›eace:JIHESHIM UTAHESHIMIWA!
kidogo kidogo hadi huko ni padogo, haina taste!
 
Halafu hiyo mibaba inayomtongoza ni ya JF peke yake tuuuu???

Unajua Dena,wale wa ofisini atawaambia huko ofisini,wale wa JF awaambie hapa hapa.....
Kutongozwa si ishu,najua hadi uzee tutatongozwa,but kila mtu ana objectives zake za kuwa mahali, JF ni sehemu ya ku-share mawazo na kwa namna moja au nyingine si vibaya ukitengeneza marafiki......najua tuko watu wa aina tofauti hapa,lakini kuwa tofauti haitufanyi tu -tolerate kila kitu.......kuna vitu vina haribu mood ya kuwa hapa,kama hilo la mtu kaoa anaku-PM,na usifikiri ukimkataa anakuacha,wanaendelea tu........:crying:
 

Dahh nilikuwa naendelea umenimalizia maneno. Big up!!! Im Out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…