Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Ha umeomba mwenyewe mkikataliana usituletee kesi
sawa staleta.....lakin akiwa anadai sana unyumba ntaleta kes ya ANATAKA SANA ...😛lane:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha umeomba mwenyewe mkikataliana usituletee kesi
Nilikuwa Nasalimia tu Kiongozi - Baba_Enock is "saint-to-be"!
Mtu mzima huwa anajua jinsi ya ku-manage utongozwaji, yeye mwenyewe (mwanamke lazima atongozwe.....).......na mtoto akitongozwa anaenda kumwambia mzazi/mlezi wake.....where do you fall michelle?
Tubaki kutokubaliana......
Skulimeti unafanya nini huku kwenye CRAP?
WEW asi nimekutongoza mbona haunijibu?
au una mpango wa kunianzishia post kesho?au utaenda kunsemea kwa mjomba mton?
Hivi kwenye hivyo vikao, mpendwa umetongozwa peke yako?
Pole mwaya. Nadhani muhusika/wahusika wamekupata
sawa staleta.....lakin akiwa anadai sana unyumba ntaleta kes ya ANATAKA SANA ...😛lane:
Huoni nachuma majani?? Nshakubali ati....
Angalau umesema kweli akitaka sana nayo thread mpya ha ha tuletee
good...wataka nikupe nini dia?
nipe orodha ya vtu basi uku ukikumbuka kunitajia venue tutakayokutana leo jion..
ya vikaon kuleta jamvin haina tofaut na chumban kupeleka saluni.
mhA grown i am....
Nilikwambia ubadilishe compyuta yako ya kikorea inasoma tofauti lakini hausikii
sawa
lakin dahh i ya leo kali its like......mamamaaaaaaaaaaaa mamaaaaaaa juma kantongoza...!!!!!! mdada una miaka 30 apo ahhh
duuuhhh haya tena
naona leo zamu ya kina baba ..
nasubiria kesho nione zamu ya naniii??
duuuhhh haya tena
naona leo zamu ya kina baba ..
nasubiria kesho nione zamu ya naniii??
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?