Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hivi kwenye hivyo vikao, mpendwa umetongozwa peke yako?
Pole mwaya. Nadhani muhusika/wahusika wamekupata
 
Mtu mzima huwa anajua jinsi ya ku-manage utongozwaji, yeye mwenyewe (mwanamke lazima atongozwe.....).......na mtoto akitongozwa anaenda kumwambia mzazi/mlezi wake.....where do you fall michelle?
Tubaki kutokubaliana......

WEW asi nimekutongoza mbona haunijibu?
au una mpango wa kunianzishia post kesho?au utaenda kunsemea kwa mjomba mton?
 
Skulimeti unafanya nini huku kwenye CRAP?

Skulimeti umenikumbusha mbali saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana (1994)

C - Contrast
R - Repetition
A - Alignment
P - Proximity

Sijiwahi ku-CRAP tena since then!
 
WEW asi nimekutongoza mbona haunijibu?
au una mpango wa kunianzishia post kesho?au utaenda kunsemea kwa mjomba mton?

Huoni nachuma majani?? Nshakubali ati....
 
Angalau umesema kweli akitaka sana nayo thread mpya ha ha tuletee

sawa
lakin dahh i ya leo kali its like......mamamaaaaaaaaaaaa mamaaaaaaa juma kantongoza...!!!!!! mdada una miaka 30 apo ahhh
 
good...wataka nikupe nini dia?
nipe orodha ya vtu basi uku ukikumbuka kunitajia venue tutakayokutana leo jion..

Naona aibu kusema....nipe chochote tu....hata VX, prado sawa tu....
 
duuuhhh haya tena
naona leo zamu ya kina baba ..

nasubiria kesho nione zamu ya naniii??
 
kesi yangu n ww hatuwezi kuongelea hapa mbele za watu na kuwapa faida watu wengine kwa kukiri upungufu wetu,mm na ww tutaongea nyumbani chumbani baada ya kumaliza kula tam ukishushia na jani na nyagi bariiiiidi{asiyejua maana haambiwi maana}Tutaendelea kutongozana tu maana tusipotongozana kuwa kina pita huku nikupige na maganda ya yai na majani ya chungwa!:A S 39::A S 39::A S 39:
Nilikwambia ubadilishe compyuta yako ya kikorea inasoma tofauti lakini hausikii
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Trustme - Siku hiyo mbona wewe ndiye uliyenianza bana? Halafu ukaninunulia na mzinga wa Jack D? Sasa unakuja kunianika hapa JF?

Wewe Mama Mubaya .. Tena Mubaya Sana - Trust ME!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…