Pre GE2025 Hatuwezi Kupata Tume Huru ya Uchaguzi bila Katiba mpya kwa sababu CCM haitakubali kuwa "Mchimba kisima kaingia mwenyewe"

Pre GE2025 Hatuwezi Kupata Tume Huru ya Uchaguzi bila Katiba mpya kwa sababu CCM haitakubali kuwa "Mchimba kisima kaingia mwenyewe"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Niliwahi kuleta uzi kuwa tunahitaji raisi mwendawazimu atakayeweza kukata tawi alilokalia atuletee katiba mpya maana mtu mwenye akili timamu hasa hasa mwana CCM hawezi kufanya huo ujinga wa kukuletea katiba mpya cha ajabu kwenye huo uzi wachangiaji walikuwa wawili tu, ndio maana mpaka leo huwa siingii jukwaa la siasa maana naona watu hawana uwezo kuona vitu rahisi kabisa kama hivi wapo miaka nenda rudi wanapoteza muda, hamieni kwenye mpira tu huko ndo kuna matumaini.
 
Niliwahi kuleta uzi kuwa tunahitaji raisi mwendawazimu atakayeweza kukata tawi alilokalia atuletee katiba mpya maana mtu mwenye akili timamu hasa hasa mwana CCM hawezi kufanya huo ujinga wa kukuletea katiba mpya cha ajabu kwenye huo uzi wachangiaji walikuwa wawili tu, ndio maana mpaka leo huwa siingii jukwaa la siasa maana naona watu hawana uwezo kuona vitu rahisi kabisa kama hivi wapo miaka nenda rudi wanapoteza muda, hamieni kwenye mpira tu huko ndo kuna matumaini.
CCM ni shetani kabisa
 
Back
Top Bottom