Hatuwezi kuwa na serikali tatu na bado tanzania ikabaki salama.

Hatuwezi kuwa na serikali tatu na bado tanzania ikabaki salama.

Moja ya vyanzo vya mapato ya serikali ya muungano itakuwa ni michango kutoka nchi washirika. Kwa rasimu hii ina maana tanganyika na zanzibar zitakuwa na hadhi sawa. Je kwenye kuchangia tutachangia sawa au tanganyika ndiyo itakayobeba gharama kubwa?
 
Mazingira ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya zanzibar na tanganyika yanaufanya muungano wa serikali mbili kuwa ni jibu kwa ustawi wa tanzania na muungano wa serikali tatu kuwa nikikwazo kwa umoja wetu na uhai wa tanzania yetu.

Tanzania YETU na nani? We kama nani unaongelea watu hapa!?
Halafu toka lini Mjita akaitwa Jabirimakame ?

We unadhani kwa kutumia majina ya kipwani utaonekana sio msaliti?

Nyie ndio wanafiki mnaopenda kutoa pua zenu kupandikiza vitu, halafu moto ukianza mnavaa kanga mkarudi jikoni kupika!

We hujali athari zitokanazo na huo muungano wa nyerere na karume!
Kwa hivyo kaa kimya na wacha maneno ya harusini ya kina mama ya kusema"TANZANIA YETU"!

Sema kwa nafsi yako. Na huna rukhsa ya kuwasemea WATANGANYIKA WALA WAZANZIBARI WOTE.

Au ndio yuleyule Makamee kavaa chupi ya rangi ingine??

Manake mapovu ni yaleyale!
 
Last edited by a moderator:
"Kwa maana hiyo, tunapojadili kuhusu muungano wetu jambo la kwanza na la msingi kwa kila mtanzania ni kuwa na dhamira ya kweli na msimamo usioyumba juu ya kuutetea na kuulinda muungano kwa gharama yeyote ile. " Are you serious you guy? Muungano wa nini sasa wakati hakuna upande wowote wa Tanganyika wala Zanziba wanautaka. Ufe huu muungano na ufie mbali sana mbali kiasi cha maili za kwenda infinite.
 
serikali tatu ndo mpango mzima ccm wanahofia nini au wizi wa kura kutoka zanzibar kuja bara serikali tatu itapunguza gharama kubwa sana
 
Back
Top Bottom