Jabirimakame
Member
- Jan 15, 2014
- 71
- 37
- Thread starter
-
- #21
Mazingira ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya zanzibar na tanganyika yanaufanya muungano wa serikali mbili kuwa ni jibu kwa ustawi wa tanzania na muungano wa serikali tatu kuwa nikikwazo kwa umoja wetu na uhai wa tanzania yetu.