Hauja-hustle ili uwe mkombozi wa mwanamke mjinga

Umri ni kigezo kikubwa sana iyo 30 nimeitaja kama wakati ambao thamani ya mwanamke inaanza kushuka na ya mwanaume inaanza kupanda, usisahau kwamba kupanda uko kwa thamani mwanaume unatakiwa kupambana, sio eti uwe mzembe utegemee utakapofika 30 thamani yako itakua juu au itaanza kupanda tu automatically.

Tuchukue mfano wa shilole na vunjabei. Ukirudisha miaka yao nyuma wakiwa wakiwa 20s bila shaka thamani ya shilole ilikua kubwa kwa sababu alikua bado binti mbichi wakati vunja alikua bado anazitafuta lakini leo hii ukiwaweka kwenye dating market hawa wawili utaona thamani za zime-switch oppositely.

Sio rahisi Shilole kumpata mwanaume mwenye mafanikio katika age yake ndio maana kimbilio lake ni vijana wadogo wakati vunja kumpata binti wa 18-22 ni suala rahisi.

Nature inamuhukumu shilole kutokana na muda wakati inamuhukumu vunja kutokana na mafanikio
 
Sawa,

waje wajitetee wenyewe hao wadada
 
Good brother Natafuta Ajira

Swali kwako na kwa wanajukwaa, How do you know if a woman is a retired whore??
Cha kwanza kuwa singlemother, mwanamke yamfaa apate mume kwanza ndipo apate mtoto na si kinyume chake. Cha pili ni umri, mwanamke anakuwa kwenye kilele cha ubora wake akiwa 18-22. Hapa ndipo wanawake wengi wanajizima data hadi wakifika kwenye 30-40 ndipo akili zinawarudia. Ukitaka kufurahia ndoa oa msichana uliyemkuta bikira! hawo wengine hata wakiwa wazuri kama jini lakini siyo bikira wawe ni kwaajili ya kujirusha, kufanyia mazoezi ili kujipatia uzoefu.
 
Kuna uwezekano comment yako ikawa imempiga jamaa kwenye weak spot ndio maana anapambana kuku-prove wrong. Ni kawaida yetu waafrika kutokubaliana na ukweli mchungu
 
Background check akikuficha utafanyaje ,Sema nn Tupige magoti Tumuombe Sir before kuchagua Sema Wana tuna yumba tunachagua Kwanza ndo tunamuomba Mwenyezi
 
Kuzeeka kwa me na ke kunavyotofautiana ni kama wine na nyanya.
 
Kuna uwezekano comment yako ikawa imempiga jamaa kwenye weak spot ndio maana anapambana kuku-prove wrong. Ni kawaida yetu waafrika kutokubaliana na ukweli mchungu
Haya mambo yanachanganya sana

Anaweza akawa 30, ame 'party' sana lakini akatulia

Na anaweza kuwa bikra lakini akaanza ku 'party' akiwa na wewe
 
Hao ni mataperi wa hisia ,na hawana mbele wala nn....
 
Ukweli ni kwamba wanaume wengi hamstahili kutulia na wanawake wakiwa kwenye prime age, wengi mnastahili kutulia na wanawake wakiwa the so called 'malaya' na 'washachoka', ndege wafananao huruka pamoja huwezi kupanda magugu ukategemea uvune mpunga
 
Usiogope hawawezi kuwa uniform πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Si unaona mlivyo wanafiki yani nilitegemea utasema kama wanawake wote wakijitunza basi na wanaume itabidi wawe tayari kujitunza sababu watakosa wanawake wa kuzini nao, badala yake unasema eti hawawezi kuwa uniform sasa kama unajua hawawezi kuwa uniform kwanini mnajisumbua kuanzisha nyuzi za kutaka wanawake wabadilike au huwa mnawalenga wanawake wa sayari nyingine, yani mnataka wanawake wajitunze hadi ndoa wakati huo huo mnataka wanawake wa kuzini nao kabla ya ndoa sasa mnategemea watoke wapi ilihali watakuwa wanajitunza wasipojitunza wanasimangwa
 
Sipo hapa kufundisha maadili, nipo hapa ku-unlock code kila mmoja afanye maamuzi akiwa anazijua potential consequences na anajua yeye ndie atakabiliana nazo. Mwanamke akiwa mapepe ilo sio tatizo langu na kama akiniletea mbususu nitaichakata na sitamuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…