Hauja-hustle ili uwe mkombozi wa mwanamke mjinga

Uungwana ni kwamba uki copy andiko la mtu ni vyema kumu acknowledge mwenye andiko lake huku wewe ukitimiza wajibu wako wa kufikisha ujumbe kusudiwa......
Kumbe anacopy na kupaste mbwiga huyu??
Kapeace Jadda binti kiziwi mahi wetu anatukausha ubongo kwa kuiba maandiko ya watu…
Unajua mwanzo nilikuwa namuonea huruma labda kuna bint sayuni mwenzetu kampiga tukio so hasira anamalizia kwetu, kumbe anaigilizia mxiuuuuuu.!! 🀣🀣🀣
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Pole sana yatapita

ila huezi kua juu kwa kusema wenzio vibaya. unafaidika na nini

ipo siku watayajua mapungufu yako na wewe humu JF utaomba poo

na log out
 
Ana tabia zote za chakula ya watu huyo
 
Mwanamke sahihi ni bikra tu
 
Mwingine aliyekula bata na wazungu hadi wakampakua mbele na nyuma ananiambia eti yeye akiamua kumpenda mtu hachepuki anakaa na mtu mmoja. Nikimwangalia kashachoka sana hata mwanaume wa kumtamani tena hakuna.

Anataka kuniganda baada ya kumaliza viwanja vyote swedeni, Australia, Kenya mpaka Ujerumani.

Namwangaliaa nasema hiiiii
 
Unajitahidi lakini hawa wenzako ni sikio la kufa,kaka yangu juzi kaleta single maza mwenye watoto wake wanne,wanakokotana hawajui ya leo wala kesho.Nasikia wameshibana maana mama yangu walimletea vitambi tu
Najua hata niandike threads 100 kwa siku siwezi kueleweka na kila mtu, katika safari ya kuelekea kaanani lazima tukubali ukweli kwamba kuna wenzetu tutawaacha njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…