Hauja-hustle ili uwe mkombozi wa mwanamke mjinga

Background check akikuficha utafanyaje ,Sema nn Tupige magoti Tumuombe Sir before kuchagua Sema Wana tuna yumba tunachagua Kwanza ndo tunamuomba Mwenyezi
Kupitia tu mazungumzo yako na huyo manzi, matendo yake utamjua huyo mwenza wako ni wa aina gani na kuna mwengine utamjua tu kabla hata ujaingia nae kwenye mahusiano sema wanaume wengi wa sasa mnakosa communication skills and communication technique ya kumfanya mwanamke awe anafunguka
 
Ungeni tag mapema tungeauntanisha spana na kuunganisha vyuma kwa moto wa gas. Tungewapigisha squart na mazoezi ya tumbo hadi lingeweka six parks just kwa siku moja tu.
 
Asante Sana ndugu.Mwenye masikio atakusikia. Thread hii haitaenda bure kuna vijana itawaokoa na 'moto'. Uishi milele๐Ÿ™
 
Mimi ni man ila Kwa hili sikupingi kabisa
 
Kama kawa natoa like ndio nakuja kusoma mada,linapokuja suala la ANT-SIMP,..
Natafuta Ajira ...100% wewe ni professor,najua madini yanatemwa๐Ÿ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ