Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Spana and VAR zimehamia Jf 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia mkuu Natafuta AjiraUkianzisha uzi usisahau kuni-tag mkuu Natafuta Ajira
Malaya wanaojiuza hawawezi kupenda nyuzi za huyu jamaaKuna watu wakiona ID yako wanaishia kusonya tu 😊
Background yake, ukiona anakulinganisha na Ex wake, hakutii, unatafutwa pale tu ambapo anashida kimbia mkuu ila hiyo ya bikra sioni inamashikoGood brother Natafuta Ajira
Swali kwako na kwa wanajukwaa, How do you know if a woman is a retired whore??
Kwa upande wangu naona Virginity haina mashiko kwasababu anaweza kuwa na bikra akawa na tabia chafu na pia ni low minded sioni kama ni kigezo tosheleziVirginity, background check
Kwani amecopy kwa nani?Uungwana ni kwamba uki copy andiko la mtu ni vyema kumu acknowledge mwenye andiko lake huku wewe ukitimiza wajibu wako wa kufikisha ujumbe kusudiwa......
Kupitia tu mazungumzo yako na huyo manzi, matendo yake utamjua huyo mwenza wako ni wa aina gani na kuna mwengine utamjua tu kabla hata ujaingia nae kwenye mahusiano sema wanaume wengi wa sasa mnakosa communication skills and communication technique ya kumfanya mwanamke awe anafungukaBackground check akikuficha utafanyaje ,Sema nn Tupige magoti Tumuombe Sir before kuchagua Sema Wana tuna yumba tunachagua Kwanza ndo tunamuomba Mwenyezi
Obama ni mwanamke kwani? Soma vizuri mada ya mleta madaIla mkuu kumbuka binaadamu sio kama ngombe binaadamu hubadilika people reform......Obama alishawshi kua mvuta bangi ila akaja kua Raisi wa nchi kama US.
You can never fully vet a woman. Hili nalo unalijua bila shaka.Virginity, background check
Good brother Natafuta Ajira
Swali kwako na kwa wanajukwaa, How do you know if a woman is a retired whore??
Ungeni tag mapema tungeauntanisha spana na kuunganisha vyuma kwa moto wa gas. Tungewapigisha squart na mazoezi ya tumbo hadi lingeweka six parks just kwa siku moja tu.Baada ya kutumia kipindi cha maisha yako kujijenga, kuvuja jasho usiku na mchana, sasa umejipata au umeanza kuona mwngaza basi usifanye kosa la kuwa retirement plan ya mwanamke mpumbavu ambae prime yake aliitumia kufanya umalaya in the name of "having fun"
All women told themselves "i am living my best life" in their 20s, will come looking for you when they have been aged, demaged and are no longer find attention like before.
Watakuja na misemo yao " nimebadilika", "maisha yamenifundisha", "sasa hivi nipo tayari kutulia" n.k. usidanganyike ukweli ni kwamba tayari washachoka. Baada ya kupigwa na mvua, jua, dhoruba, vimondo n.k sasa wanatafuta sehemu salama ya kutua, usikubali kufanywa fala.
Hauja-hustle ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke yoyote hapa duniani aparty from ndugu zako.
Haupo hapa duniani ili uje kuwa mkombozi na tulizo la mwanamke mpumbafu. Hustles zako zinastahili kuwa na mwanamke mwenye thamani kubwa, mwanamke aliyeitunza bikira yake, mwanamke anahejiheshimu.
Ukweli ni kwamba wanawake wenye thamani kubwa ni wachache, sana sana kwenye hiki kizazi chetu lakini wanastahili kusubiriwa, wala usiwe na papala.
Tupo katika kizazi chenye wanawake wengi wapumbavu ambao wanafikiri baada ya kuitumia 20s yao kutembea nusu uchi, kuwabadilisha wanaume, na kufanya umalaya wa kila aina, wanaweza kusema tu wamebadilika na wakampata mwanaume mwema wa kutulia nae. Don't be a dump fool to fall for that trap.
Your are not here to be backup plan, you are not here to save a woman from the consequences of her poor decision. She disrespected herself in her 20s, don't let her manipulate you that she suddenly transform into the wife material you deserve, the trust is she hit the wall and she is run out of other options.
After you reach your prime go for the high value woman who knows what it means to be feminine, virgin and respecting herself, a woman who value your leasdrship as a man. You haven't work hard, sacrificed too much to waste all of it on a demaged woman who only sees you as a retirement plan.
Demand value because that is what you have been spent your whole life building it, so that is what you deserve in return
Usipoikuta bikira basi usisahau background check.Kwa upande wangu naona Virginity haina mashiko kwasababu anaweza kuwa na bikra akawa na tabia chafu na pia ni low minded sioni kama ni kigezo toshelezi
Asante Sana ndugu.Mwenye masikio atakusikia. Thread hii haitaenda bure kuna vijana itawaokoa na 'moto'. Uishi milele🙏Baada ya kutumia kipindi cha maisha yako kujijenga, kuvuja jasho usiku na mchana, sasa umejipata au umeanza kuona mwngaza basi usifanye kosa la kuwa retirement plan ya mwanamke mpumbavu ambae prime yake aliitumia kufanya umalaya in the name of "having fun"
All women told themselves "i am living my best life" in their 20s, will come looking for you when they have been aged, demaged and are no longer find attention like before.
Watakuja na misemo yao " nimebadilika", "maisha yamenifundisha", "sasa hivi nipo tayari kutulia" n.k. usidanganyike ukweli ni kwamba tayari washachoka. Baada ya kupigwa na mvua, jua, dhoruba, vimondo n.k sasa wanatafuta sehemu salama ya kutua, usikubali kufanywa fala.
Hauja-hustle ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke yoyote hapa duniani aparty from ndugu zako.
Haupo hapa duniani ili uje kuwa mkombozi na tulizo la mwanamke mpumbafu. Hustles zako zinastahili kuwa na mwanamke mwenye thamani kubwa, mwanamke aliyeitunza bikira yake, mwanamke anahejiheshimu.
Ukweli ni kwamba wanawake wenye thamani kubwa ni wachache, sana sana kwenye hiki kizazi chetu lakini wanastahili kusubiriwa, wala usiwe na papala.
Tupo katika kizazi chenye wanawake wengi wapumbavu ambao wanafikiri baada ya kuitumia 20s yao kutembea nusu uchi, kuwabadilisha wanaume, na kufanya umalaya wa kila aina, wanaweza kusema tu wamebadilika na wakampata mwanaume mwema wa kutulia nae. Don't be a dump fool to fall for that trap.
Your are not here to be backup plan, you are not here to save a woman from the consequences of her poor decision. She disrespected herself in her 20s, don't let her manipulate you that she suddenly transform into the wife material you deserve, the trust is she hit the wall and she is run out of other options.
After you reach your prime go for the high value woman who knows what it means to be feminine, virgin and respecting herself, a woman who value your leasdrship as a man. You haven't work hard, sacrificed too much to waste all of it on a demaged woman who only sees you as a retirement plan.
Demand value because that is what you have been spent your whole life building it, so that is what you deserve in return
Achana nae broh tafuta kitu kipya mkuuBado napambana na single mother.
Kwa nimuonavyo n kama katulia, ila hizi nondo za Natafuta Ajira zimenifanya nijifikirie tena kabla ya kumuoa
Mimi ni man ila Kwa hili sikupingi kabisaSi unaona mlivyo wanafiki yani nilitegemea utasema kama wanawake wote wakijitunza basi na wanaume itabidi wawe tayari kujitunza sababu watakosa wanawake wa kuzini nao, badala yake unasema eti hawawezi kuwa uniform sasa kama unajua hawawezi kuwa uniform kwanini mnajisumbua kuanzisha nyuzi za kutaka wanawake wabadilike au huwa mnawalenga wanawake wa sayari nyingine, yani mnataka wanawake wajitunze hadi ndoa wakati huo huo mnataka wanawake wa kuzini nao kabla ya ndoa sasa mnategemea watoke wapi ilihali watakuwa wanajitunza wasipojitunza wanasimangwa
Uwii, ndo vile yuko moyoni mkuu. Ila I'll do my best nimteme tu.Achana nae broh tafuta kitu kipya mkuu
Ngoja aone sehemu ina maslahi kushinda kwako utajua vizuri namna ya kutokupendaUwii, ndo vile yuko moyoni mkuu. Ila I'll do my best nimteme tu.
Mbn kutishana tena mkuu🤔😒Ngoja aone sehemu ina maslahi kushinda kwako utajua vizuri namna ya kutokupenda
Kama kawa natoa like ndio nakuja kusoma mada,linapokuja suala la ANT-SIMP,..Baada ya kutumia kipindi cha maisha yako kujijenga, kuvuja jasho usiku na mchana, sasa umejipata au umeanza kuona mwngaza basi usifanye kosa la kuwa retirement plan ya mwanamke mpumbavu ambae prime yake aliitumia kufanya umalaya in the name of "having fun"
All women told themselves "i am living my best life" in their 20s, will come looking for you when they have been aged, demaged and are no longer find attention like before.
Watakuja na misemo yao " nimebadilika", "maisha yamenifundisha", "sasa hivi nipo tayari kutulia" n.k. usidanganyike ukweli ni kwamba tayari washachoka. Baada ya kupigwa na mvua, jua, dhoruba, vimondo n.k sasa wanatafuta sehemu salama ya kutua, usikubali kufanywa fala.
Hauja-hustle ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke yoyote hapa duniani aparty from ndugu zako.
Haupo hapa duniani ili uje kuwa mkombozi na tulizo la mwanamke mpumbafu. Hustles zako zinastahili kuwa na mwanamke mwenye thamani kubwa, mwanamke aliyeitunza bikira yake, mwanamke anahejiheshimu.
Ukweli ni kwamba wanawake wenye thamani kubwa ni wachache, sana sana kwenye hiki kizazi chetu lakini wanastahili kusubiriwa, wala usiwe na papala.
Tupo katika kizazi chenye wanawake wengi wapumbavu ambao wanafikiri baada ya kuitumia 20s yao kutembea nusu uchi, kuwabadilisha wanaume, na kufanya umalaya wa kila aina, wanaweza kusema tu wamebadilika na wakampata mwanaume mwema wa kutulia nae. Don't be a dump fool to fall for that trap.
Your are not here to be backup plan, you are not here to save a woman from the consequences of her poor decision. She disrespected herself in her 20s, don't let her manipulate you that she suddenly transform into the wife material you deserve, the trust is she hit the wall and she is run out of other options.
After you reach your prime go for the high value woman who knows what it means to be feminine, virgin and respecting herself, a woman who value your leasdrship as a man. You haven't work hard, sacrificed too much to waste all of it on a demaged woman who only sees you as a retirement plan.
Demand value because that is what you have been spent your whole life building it, so that is what you deserve in return