Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
22,527
Reaction score
79,976
Haujachelewa
1. Kutubu na kuamua kuacha dhambi zinazokutesa kila siku
2. Kuanza kusave pesa hiyo ndogo unayoipata
3. Kuanza upya mahusiano yako ya kiimani, kimapenzi

4. Kufanya ndoto zako kuwa uhalisia

Muhimu na uzingatie
1. We don't chase people, we chase dreams
2. Live for yourself
3. Think for yourself, not about what others think of you
4. Get up and live!

Mwenyezi Mungu atujaalie wakati mwema msimu huu wa toba wa Ramadan na kwaresma... maovu/makosa/dhambi (z)yetu na maombi yetu yakapate kusikilizwa, tukapate moyo wa kujisamehe na kuanza upya.

Amen!

Good Morning people ✌


View: https://youtu.be/YaEG2aWJnZ8?feature=shared
 
Haujachelewa
1. Kutubu na kuamua kuacha dhambi zinazokutesa kila siku
2. Kuanza kusave pesa hiyo ndogo unayoipata
3. Kuanza upya mahusiano yako ya kiimani,kimapenzi

4. Kufanya ndoto zako kuwa uhalisia

Muhimu na uzingatie
1.We don't chase people,we chase dreams
2.Live for yourself
3.Think for yourself, not about what others think of you
4. Get up and live!

Mwenyezi Mungu atujaalie wakati mwema msimu huu wa toba wa Ramadan na kwaresma...maovu/makosa/dhambi (z)yetu na maombi yetu yakapate kusikilizwa,tukapate moyo wa kujisamehe na kuanza upya....Amen!

Good Morning people ✌





View: https://youtu.be/YaEG2aWJnZ8?feature=shared

Mh! kimekukuta nini mrembo....?
 
Haujachelewa
1. Kutubu na kuamua kuacha dhambi zinazokutesa kila siku
2. Kuanza kusave pesa hiyo ndogo unayoipata
3. Kuanza upya mahusiano yako ya kiimani,kimapenzi

4. Kufanya ndoto zako kuwa uhalisia

Muhimu na uzingatie
1.We don't chase people,we chase dreams
2.Live for yourself
3.Think for yourself, not about what others think of you
4. Get up and live!

Mwenyezi Mungu atujaalie wakati mwema msimu huu wa toba wa Ramadan na kwaresma...maovu/makosa/dhambi (z)yetu na maombi yetu yakapate kusikilizwa,tukapate moyo wa kujisamehe na kuanza upya....Amen!

Good Morning people ✌





View: https://youtu.be/YaEG2aWJnZ8?feature=shared

Ukweli Mtupu ... Namba Moja Iko moto sanaaaa!

Mungu anipe neema yake

Hatujachelewa Kuacha Betting 😂😂
 
Back
Top Bottom