Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀 na uyo anaekwambia uweke akiba anataka umuhudumie mahitaji yake, kama kipimo cha kuonyesha unamjali.Hii changamoto, leo sijui nitakula nini, jana nadaiwa, nikipata hela leo nilipe deni la jana ninunue chakula leo, sina hakika kama itabaki ya akiba , na haiwezekani kuweka akiba njaa ikiwa inauma.
Awamu hii tufunge na ndg zetu wanaanza kesho 2/3.Sio jumatano?
Sina uhakika wanaanza lini manake mie huwa sifungi 😀
Asante
Ila kwanini wabantu huwa mnaigiza sana Maisha ikifika ramadhan na hiyo mnaiita kwaresima mnajifanya wacha mungu WTF
Unakuta mtu amefunga Ila anavuta sigara
Mwingine mzinzi anasema akai na mchipuko kwakuwa hajamuoa n.k
Love is for weak people. Real men we reason, not loving.Love is not for weak people.
Reasoning is loving. If you take your time to reason it means you love.Love is for weak people. Real men we reason, not loving.
Totaly wrongReasoning is loving. If you take your take to reason it means you love.