Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

Maneno flan hv konki kutoka kwa mwanetu. Umenigusa moyo
 
Kuacha dhambi si jambo rahisi!siku moja nitawaletea kiasi cha dhambi niliyokuwa namwomba Mungu niiache na kuisahau...baada ya miaka nane Mungu amejibu ombi langu!!kilichofuata sasa ndo kisa chenyewe!!
 
Kuacha dhambi si jambo rahisi!siku moja nitawaletea kiasi cha dhambi niliyokuwa namwomba Mungu niiache na kuisahau...baada ya miaka nane Mungu amejibu ombi langu!!kilichofuata sasa ndo kisa chenyewe!!
Uni quote
 
Haujachelewa
1. Kutubu na kuamua kuacha dhambi zinazokutesa kila siku
2. Kuanza kusave pesa hiyo ndogo unayoipata
3. Kuanza upya mahusiano yako ya kiimani, kimapenzi

4. Kufanya ndoto zako kuwa uhalisia

Muhimu na uzingatie
1. We don't chase people, we chase dreams
2. Live for yourself
3. Think for yourself, not about what others think of you
4. Get up and live!

Mwenyezi Mungu atujaalie wakati mwema msimu huu wa toba wa Ramadan na kwaresma... maovu/makosa/dhambi (z)yetu na maombi yetu yakapate kusikilizwa, tukapate moyo wa kujisamehe na kuanza upya.

Amen!

Good Morning people ✌


View: https://youtu.be/YaEG2aWJnZ8?feature=shared

Very constructive joanah.
Vitu kama hivi vinatupa nafasi ya kutafakari maisha yetu kwa upya
 
Kuacha dhambi si jambo rahisi!siku moja nitawaletea kiasi cha dhambi niliyokuwa namwomba Mungu niiache na kuisahau...baada ya miaka nane Mungu amejibu ombi langu!!kilichofuata sasa ndo kisa chenyewe!!

Ukiweka hicho kisa nitag 🙏
 
Back
Top Bottom