Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheki lilivyo lilaghai!.. mi sinywi na sijawahi na sihitaji ondoka pepo la ulevi..🤣Bado sijanywa
Tutoke basi leo night tukanywe pombe turudi kesho
ili nisikuite hivyo nitumie picha yako pm nikuone ili ndo nibadili alasivyo utaendelea kuwa li yani lidada, limama, limwizi, lilaghai n.k🤣Hii tabia ya kuniita Li fulani imeanza lini kwanza kabla sijakunywesha pombe kwa nguvu
Unaniita Li na hivi nilivyo kweli?🤣
Pole liliaji kinyama!..😁Nimelia kinyama 😂😂
Mh!Nipo mkuu anifiche nani 😀 nimejiandaa nitafunga
Vipi wewe haliyako
Mwambie Sina wa kufuturu nae afunge aje kufuturu 😀
Acha tu mkuu, na bahati mbaya hawakwepeki!😀😀😀😀 na uyo anaekwambia uweke akiba anataka umuhudumie mahitaji yake, kama kipimo cha kuonyesha unamjali.
Ulishawahi kuona mwizi anamshika mwizi mwenzake..?😅
Mi hata sijui kwanini ni dhambi au sio dhambi hii kitu ukila hela inakuwa sio dhambi ila ukiliwa sana ni dhambi.Hii ni un-kwepabo
Kwani nayo dhambi? 😂
Haujachelewa
1. Kutubu na kuamua kuacha dhambi zinazokutesa kila siku
2. Kuanza kusave pesa hiyo ndogo unayoipata
3. Kuanza upya mahusiano yako ya kiimani, kimapenzi
4. Kufanya ndoto zako kuwa uhalisia
Muhimu na uzingatie
1. We don't chase people, we chase dreams
2. Live for yourself
3. Think for yourself, not about what others think of you
4. Get up and live!
Mwenyezi Mungu atujaalie wakati mwema msimu huu wa toba wa Ramadan na kwaresma... maovu/makosa/dhambi (z)yetu na maombi yetu yakapate kusikilizwa, tukapate moyo wa kujisamehe na kuanza upya.
Amen!
Good Morning people ✌
View: https://youtu.be/YaEG2aWJnZ8?feature=shared
Nn😀