Hauwezi kupunguza madeni unayodaiwa na Taifa fulani kwa kutumia fedha za IMF au benki ya dunia alafu ukatembea kifua mbele ukisema unalitatua tatizo

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
"Hauwezi kupunguza madeni unayodaiwa na Taifa fulani kwa kutumia fedha za IMF au benki ya dunia alafu ukatembea kifua mbele ukisema unalitatua tatizo.

Afrika inahitaji usimamizi madhubuti wa vyanzo vyake vya kiuchumi. Afrika inahitaji kufanya kazi kwa bidii kuzalisha na kukuza vyanzo vyake yenyewe kwa sababu mkopo ni mkopo tu, haijalishi uwe unatokea China au Mataifa ya magharibi kwani huo wote ni utumwa."

Paul Kagame,
Raisi wa Rwanda.




Ndugu zangu wakenya mnataka kukopa ili kulipa deni. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kenyata kweli ametingwa.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒndugu zangu wakenye mpoooooo
 
Sio Kenya pekee....style anayokuja nayo huyu mama mzenji, tutampita Freedom kwa kasi ya mwanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…