Huwezi kuamini huo muda ndo hata kama kazi ilinishinda mchana hapo huwa ninapata solution jaribisha utaamini, kama ni kukulana namkula kabisa wife namuacha amelala mimi naendelea na yangu na ameshazoea utaratibu hadi nisipoamka cku mbili huwa anauliza nini shida!Huo muda usingizi mtamu balaa
[emoji2][emoji2]Huwezi kuamini huo muda ndo hata kama kazi ilinishinda mchana hapo huwa ninapata solution jaribisha utaamini, kama ni kukulana namkula kabisa wife namuacha amelala mimi naendelea na yangu na ameshazoea utaratibu hadi nisipoamka cku mbili huwa anauliza nini shida!
Mkuu vipi pesa ni mpesaZiraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
Yani mshana mimi huwa nikishtuka usiku nikaingia jf huwa naogopa kufungua thread zako au nikiona tu nasema Mungu wangu leo sitalala!! Kuna zingine ukifungua lazima uogope usiku na hivi wengine tunalala peke yetu ni shidaNilikuwepo[emoji102] [emoji115] [emoji3]
Thanks all the same but next time ukiogopa nialike... Kwa nia njema kabisaYani mshana mimi huwa nikishtuka usiku nikaingia jf huwa naogopa kufungua thread zako au nikiona tu nasema Mungu wangu leo sitalala!! Kuna zingine ukifungua lazima uogope usiku na hivi wengine tunalala peke yetu ni shida
But i like you coz unatuelimisha na mengi tusiyoyajua
Twende kule jukwaa celeb,,moneyp ananiambia story zake hadi raisi anasoma,makonda,lulu,Astral projection?
Tatizo story zina picha zinatisha......but sitaogopa tenaThanks all the same but next time ukiogopa nialike... Kwa nia njema kabisa
Leo usisinzie [emoji1] [emoji1]Yesu na Maria, ilikua around muda huo huo mshana jr Mbona nazidi kutishika
Me either....good to see somebody from home hereyes kikelelwa Manyumbu
Aiseeee nimeogopa mm utafkili ndio mwenye ndotoZiraili mtoa roho hakuwa mbali, taa uliyokuwa unajaribu kuwasha ni uhai ulikuwa unaondoka... Ule mwili uliongia uvunguni ni ziraili alikushindwa na kurudi jehanum.. Uvunguni kulisimama kama jehanum.. Kama utakumbuka muda ni kati ya saa 8:30- 9:30 usiku muda wa kifo
Kukemea asubuhi hakukuwa na effect yoyote ni sawa na kusikia mngurumo wa radi kisha utafute pa kukimbilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Twende kule jukwaa celeb,,moneyp ananiambia story zake hadi raisi anasoma,makonda,lulu,
Ulikuwepo? Bila shaka wewe ndio ziraili mwenyeweNilikuwepo[emoji102] [emoji115] [emoji3]
Eehehehehe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] sio kweliUlikuwepo? Bila shaka wewe ndio ziraili mwenyewe