Have/will you change your name after marriage?

Kwa maendeleo ya sasa litaonekana ni udhalilishaji au unyanyasaji, lakini umuhimu wake upo. Kuwa familia yote inajulikana kwa jina moja. Kwamba wewe ni wa kwa fulani. Hata mtoto wa ndugu kama unakaa nae ataishia kuitwa wako kama utambulisho wa kujua huyo mtoto anatoka nyumba ipi. Wanawake wanaona ufahari kwa kuwa wanapenda kujulikana kuwa wameolewa.
sasa kinachokuja kutesa hapa ni kipato cha wanawake ambao wanaamini kuwa na kipato kunamfanya asilazimike kuwa na mume. Si akitaka yeyote atapata! Maumivu huanzia hapo.
 
i will be happy and proud.....Michelle The Finest....how beautiful!:dance::dance:


Mhhhh! Michelle!? What about Michelle Hashycool!? Hahahahahaha lol! BaK huwa anapenda uchokozi! :dance::dance::dance:
 
Thanks dear. Hongera na wewe.

Nilitembelea familia moja jana. Mtu na mumewe wameishi 40 years. Wanaonekana bado vijana. We were in a group. Tuliwaonea wivu kwa kweli. Yaani wamekuwa kama mapacha, mmoja akiongea mwenzie anamalizia sentensi jinsi wanavyojuana. Wako peke yao watoto wameshasambaratika.


Hongera sana Nyumba Kubwa !! Ubarikiwe mpaka ushangae!
 

Hongera my dear sisy....Mungu awape miaka mingi zaidi ya furaha na mafanikio zaidi kwenye ndoa yenu.:A S-rose::A S-rose:
 
Mimi situmii Mrs. Naandika Ms. Maana kuwa mrs kwa jina la babangu haimeki sense kwangu.

mm cijabadili nimeolewa 5 yrs back nilichobadili badala ya miss huwa naandika mrs thats all , teh teh niandike jina lake kwani yy baba yangu? Lol
 

Kweli kabisa, tuombe Mungu tufike huko maana kila wakati tunajiuliza tulipotoka tangu FoE mpaka tulipo na mapito yooote its been a journey

Kuna quote inasema 'Grow old with me, the best is yet to be !'

Tuombeane kwa mwenyezi Mungu kutuvusha salama maana mambo ya sasa yanatisha kwakweli
 
Reactions: BAK
Mhhhh! Michelle!? What about Michelle Hashycool!? Hahahahahaha lol! BaK huwa anapenda uchokozi! :dance::dance::dance:

Haya ni maumivu BAK.....ungejua ninavyom miss Hashy na jinsi ilivyokuwa ngumu kumsahau usingetaja hilo jina......am crying....miss you Hashy,how is wish to be named Michelle Hashycool??
 
Reactions: BAK

You never lose by loving, you always lose by holding back...just keep on loving him and everything will be fine.

http://www.endlessquotes.com/love/15/you_never_lose_by_loving_you_a.html

http://www.endlessquotes.com/love/15/you_never_lose_by_loving_you_a.htmlhttp://www.endlessquotes.com/love/15/you_never_lose_by_loving_you_a.html
 
Haya ni maumivu BAK.....ungejua ninavyom miss Hashy na jinsi ilivyokuwa ngumu kumsahau usingetaja hilo jina......am crying....miss you Hashy,how is wish to be named Michelle Hashycool??

Najua sana unavyommiss HC. Ngoja basi ninyamaze badala ya kuendelea kukuumiza roho. Pole sana.
 
...Kuna baadhi ya Waislamu ambao Wake huchukua majina ya mwisho ya Waume zao, pamoja na kuwa hili haliendani na taratibu za Kiislamu.

Ukiisoma vizuri post yangu utakuta "labda kwa wajinga wachache wanaoona kubadili jina ni maendeleo.".

Hao "Waislamu ambao Wake huchukua majina ya mwisho ya Waume zao, pamoja na kuwa hili haliendani na taratibu za Kiislamu." ni katika hao wajinga wachache.
 
Mhh haya mambo ya FOE tena???? huko huko fakati au kwingine?kweli mmetoka mbali.
 
NK Personally sibadilishi jina... I add to my full name...
 
Sijabadili na sitegemei kubadili kabisa
 
Jamani kwa nini tunakuwa na negative mind kuhusu kubadilisha majina? Kuwa Mrs fulani ni kuonyesha kuwa wewe ni mke wa mr fulani! Ndio gharama za kungaa vidole! Unless, YOU ARE NOT PROUD OF YOUR HUSBAND, basi utakuwa na wasi wasi kubadilisha. Kingine, kwa nini tunafikiria kuachana iltakuwaje? Kama uliweza kubadilisha wakti mkiwa wote, utashindwaje wakati mkiachana?

Sisi wanawake tuna letu, hebu tuseme ukweli kwa nini hatutaki kubadilisha? Mrs clinton, Mrs Thatcher, Mrs Indira Ghandi and the list is endless.......pamoja na ukubwa wa madaraka yao, BADO WAMEBADILISHA MAISHA YAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…