Have You Ever.......

Have You Ever.......

Katiba mabandiko yote niliyoyapitia.........nimejikuta mimi ni mshamba tena mshamba wa kutupwa. Sielewi nitakuwa kwenye mapenzi vipi na nisionyeshe hisia zangu, sielewi ni jinsi gani nimpende mtu 50% au 70% huku asilimia nyingine niweke akiba kama ikitokea nikaumizwa, sielewi jinsi gani niwe kwenye mahusiano na kama backup wakati ninamwingine kwa upande mwingine, yaani ukweli sielewi.

Ngoja kwanza niendelee kutulia maana huu ulimwengu wa dot com hata sijui upepo wake unaelekea wapi ktk maswala haya.........what a naive me!!!!lol
kbd.......nisaidie mpenz maana nami nimeuliza the same but k9ina MTM wamenikaushia
 
Samahami kwa kuwarudisha nyuma............From the posts inaonekana wazi kuwa ji vema kusurrender iwapi you feel that the person you love is already taken.......je kama hajakuwa taken leggaly....kwa maana ya official ndoa......unaruhusiwa kurusha karata yao au nacho ni marufuku??
Kama unachokipigania hakitaki kupiganiwa utaishia kupoteza muda na kuumia zaidi!
 
Samahami kwa kuwarudisha nyuma............From the posts inaonekana wazi kuwa ji vema kusurrender iwapi you feel that the person you love is already taken.......je kama hajakuwa taken leggaly....kwa maana ya official ndoa......unaruhusiwa kurusha karata yao au nacho ni marufuku??
What do u c kwa huyo mjamaa that u dont c kwa wengine, after all huyo tayari ameweka madhara kwenye record yako. Why not look for fresh one and practice the whole lot again, who knows?, at least I dont Know.
 
Samahami kwa kuwarudisha nyuma............From the posts inaonekana wazi kuwa ji vema kusurrender iwapi you feel that the person you love is already taken.......je kama hajakuwa taken leggaly....kwa maana ya official ndoa......unaruhusiwa kurusha karata yao au nacho ni marufuku??
Mjukuu hapa sijakuelewa, unataka kusema kua usababishe huyo mtu amwache mwenzako awe na wewe? au huyo mtu hana mtu kabisa?
 
What do u c kwa huyo mjamaa that u dont c kwa wengine, after all huyo tayari ameweka madhara kwenye record yako. Why not look for fresh one and practice the whole lot again, who knows?, at least I dont Know.

Fellow tablet hapo umeenda kinyume na katiba yetu.

Kuna mtu kanionea godoro langu?
 
Ngoja mi niende jukwaa la Siasa nikawaumize watu vichwa.... Sijatibia maumivu ya kichwa siku nyingi

Mjukuu mtiifu tafazali naomba usipuuze hizi posts zetu...tugongee senksi na ma likes kuthibitisha mapenzi yako kwetu.........Hutakaa uugue kwakuwa Asprin na fellow tablet wataweka kambi kwenye mwili wako kupambana na maadui (Usihofu hatutakaa kwenye baiolojia yake isije ikapata Have You Ever infection)

wale jukwaa la siasa hawaponi kwa aspirin wala klorokwini, wale wanahitaji herizi la kalumanzira wa kinshasa ndio wapone, infakti jamaa wanaugua marazi mabaya kuliko ukimwi. Tafazali wakikuambukiza usiludi.
 
My dia mimi sidhani kama ni punishment, yaani kuna kitu nimejifunza kabisa sasa siwezi mlaumu mtu eti amenitenda tena niliowahi kumlaumu anatosha kabisa.

Kama mtu ananifuata na utu uzima huu (sikilizeni kwa makini wadada mlioko kati ya 18 mpaka 29) mtu amekufuata hajakubaka mmeenda enda baadae akajiondokea zake basi chukulia huyo hakupangwa kuwa wako.

Ndio maana nikasema jiulize wewe hujawahi mkataa mtu? na yeye mpe uhuru wa kukukataa kama na wewe ulivyokataa uko tena kwa uzuri tu. Itakuwa punishment kama uliowakataa uliwakataa kwa kuwakomoa lakini kama hukuwakataa kwa kuwakomoa jua kwamba hata huyo anaekukataa sasa hakukomoi imetokea tu hawezi endelea na wewe (kwani inasemwa kipimo unachopima ndio utachopiwa)/

Mimi sasa hivi naishi kwa amani sana baada ya kuligundua hili, nikiona dalili za kutoswa tu naanza kurefer nyuma mbona na mimi nilifanyaga hivi, poa maisha yaendelee tu, namuachilia aende hata kabla hajaaga jumla.

Naamini kabisa kila jambo unalolitenda katika haya maisha ndivyo linavyorudi liwe zuri au baya kila mtu anavuna alichopanda hapa hapa duniani (jaribuni kujichunguza kwa makini halafu mtanielewa)
Hivi Maty ukiwa mtu unaumiza tu watu wewe hujawahi achwa unaweza kuwa mkosaji sana ee au ni ndio unajua kuchanga karata zako? nimependa the way unavyoishi maisha yako yaani raha ajabu ukiwa na hiyo kanuni aisee hupati presha hata siku moja
 
Mjukuu hapa sijakuelewa, unataka kusema kua usababishe huyo mtu amwache mwenzako awe na wewe? au huyo mtu hana mtu kabisa?
ZANTA kibaya si ni kuvunja NDOA ya mtu si ndio? What if umpendaye bado hajaoa/olewa but ana mahusiano yasiyo rasmi? Unaruhusiwa kurusha ndoano?
 
Katiba mabandiko yote niliyoyapitia.........nimejikuta mimi ni mshamba tena mshamba wa kutupwa. Sielewi nitakuwa kwenye mapenzi vipi na nisionyeshe hisia zangu, sielewi ni jinsi gani nimpende mtu 50% au 70% huku asilimia nyingine niweke akiba kama ikitokea nikaumizwa, sielewi jinsi gani niwe kwenye mahusiano na kama backup wakati ninamwingine kwa upande mwingine, yaani ukweli sielewi.

Ngoja kwanza niendelee kutulia maana huu ulimwengu wa dot com hata sijui upepo wake unaelekea wapi ktk maswala haya.........what a naive me!!!!lol
sweetheart, mimi ni mwalimu mwema na lengo langu ni kuhakikisha watoto wanafaulu kwa maksi za juu sana

naomba nijitolee kukufundisha kwani utakua best student

usitie shaka kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
What do u c kwa huyo mjamaa that u dont c kwa wengine, after all huyo tayari ameweka madhara kwenye record yako. Why not look for fresh one and practice the whole lot again, who knows?, at least I dont Know.
hapa umefurahisha mkuu kloro
 
Samahami kwa kuwarudisha nyuma............From the posts inaonekana wazi kuwa ji vema kusurrender iwapi you feel that the person you love is already taken.......je kama hajakuwa taken leggaly....kwa maana ya official ndoa......unaruhusiwa kurusha karata yao au nacho ni marufuku??

you have to fight for ur love......kama hajachukuliwa kihalali lakini
 
Kama unachokipigania hakitaki kupiganiwa utaishia kupoteza muda na kuumia zaidi!
Lizzy ninazungumzia kujaribu.....au kwa vile ana mahusiano basi hutakiwi to let her/him know how you feel about her/him?
 
Fellow tablet hapo umeenda kinyume na katiba yetu.

Kuna mtu kanionea godoro langu?
heheeh namimi acha nilog out, kuna mnuso sehem sehem. kuna njemba inatiwa kitanzi leo a.k.a ndoa. Tangu jana njemba inacheka tu kumbe haijui kwamba within 6 months itakuja kuanzisha sredi hapa hapa JF.

Kwa maslahi ya JF: mpaka sasa dawa ambayo imekuwa proved kutibu matatizo ya overweight kwa 100% success ni ndoa tu, hakuna jogging wala mjombaake diet. kulaleki!

baadae fellow tablet bana!
 
ZANTA kibaya si ni kuvunja NDOA ya mtu si ndio? What if umpendaye bado hajaoa/olewa but ana mahusiano yasiyo rasmi? Unaruhusiwa kurusha ndoano?
Kurusha ndoano inaruhusiwa ila lazima mtu uwe na taadhari sana, maana mimi hua naamini kua kama mtu yupo kwenye mahusiano mazuri na mwenzake na nikafanikiwa kumpokonya sometimes nawadha kama mimi niliweza iweje mwingine ashindwe? ndo maana inapokuja kweny swala la kupenda aisee mimi huwa silazimishi kabisa.! Halafu sijisifii ila mi mtu mara nyingi huwa nagundua kua hapa ni sanaa tu hakuna mapenzi. usinulize maana jibu sina ila hua najua na sijawai kosea kabisa.
 
Hahahahaha mchungaji bana lol! karibu sana
 
Lizzy ninazungumzia kujaribu.....au kwa vile ana mahusiano basi hutakiwi to let her/him know how you feel about her/him?

Kumwambia ni sawa....ila katika vitu ambavyo hua naviogopa ni kumfanya mtu amwache ampendae (hapa nasema ampendae kwasababu angekua hampendi usingehitaji kuvaa magwanda ya kivita) ili awe na wewe!Kesho atatokea mwingine atakaempokonya kirahisi toka mikononi mwako kama ulivyopokonya wewe!Anaekupenda kweli wala hatahitaji wewe umshurutishe kumuacha aliye nae ....atafanya hivyo mwenyewe akijua kwamba pale alipo sipo anapotaka kuwepo na kwako ndipo panapomfaa!
 
heheeh namimi acha nilog out, kuna mnuso sehem sehem. kuna njemba inatiwa kitanzi leo a.k.a ndoa. Tangu jana njemba inacheka tu kumbe haijui kwamba within 6 months itakuja kuanzisha sredi hapa hapa JF.

Kwa maslahi ya JF: mpaka sasa dawa ambayo imekuwa proved kutibu matatizo ya overweight kwa 100% success ni ndoa tu, hakuna jogging wala mjombaake diet. kulaleki!

baadae fellow tablet bana!
Mbona watu wanaota vitambi na wanawake minyama uzembe kama ndio hivo?
 
Kumwambia ni sawa....ila katika vitu ambavyo hua naviogopa ni kumfanya mtu amwache ampendae (hapa nasema ampendae kwasababu angekua hampendi usingehitaji kuvaa magwanda ya kivita) ili awe na wewe!Kesho atatokea mwingine atakaempokonya kirahisi toka mikononi mwako kama ulivyopokonya wewe!Anaekupenda kweli wala hatahitaji wewe umshurutishe kumuacha aliye nae ....atafanya hivyo mwenyewe akijua kwamba pale alipo sipo anapotaka kuwepo na kwako ndipo panapomfaa!
Lizzy hivi "Fight for your Love" ni kabla ya kua na mtu au baada? maan isijekua watu wanachanganya hii kitu hebu nisaidie hapa
 
Back
Top Bottom