Orait... japo itakua mada juu ya mada nauliza hiviiiii kama bibi hajaukamata moyo wa babu ipasavyo ilikuaje babu akampa cheo cha kua bibi???Samahani lakini kama ntakukwaza!Anything grandie!
Please, take note of the following;Dears
Am just asking
Have you ever love someone, I mean really love her/him............... only to face the truth that that person can not be with you because may be s/he is already taken/ belong to someone else?
How do you deattach yourself with that feeling................... What do you do/can someone do??
Hahahaha....we kumbe mbea eh?.........Hebu soma komenti ya babu hapa chiniOrait... japo itakua mada juu ya mada nauliza hiviiiii kama bibi hajaukamata moyo wa babu ipasavyo ilikuaje babu akampa cheo cha kua bibi???Samahani lakini kama ntakukwaza!
Hii ni imani ya babu:
Kuoa/kuolewa sio mwisho wa kupenda/kupendwa
Kuoa/kuolewa si kupenda.... unaweza ukaoa/ukaolewa na mtu asiyekupenda....baadaye ukaja ukakutana na unayempenda....Hapo ndoa haiwezi kuzuia penzi.
Asilimia kubwa ya ndoa ni za watu ambao hawako katika penzi....usishangae infidelity inavyoshika kasi.....ukianguka kwenye penzi, huwezi kucheat. Ukiona mtu anacheat, ujue ameoa/ameolewa na mtu ambaye hajampenda.....Huyo alitamani, akaoa/akaolewa.
Bila kuzunguka sana, kujibu swali lako...kuoa si mwisho wa kupenda.......... Ukipenda huwezi kupotezea, sanasana utakuwa unajitesa bure. Unapotezeaje? Hilo sina uhakika kama linawezekana, labda kama utakuwa hujapenda au babu sijui maana ya kupenda.
Babu anarudi kitandani.
Nimeipenda hiyo sentensi ya mwisho babu....lakini si wanasema ukimpenda mtu you will do anything, anything for him/her je akitaka kuwa zaidi ya Bibi yaani umtoe bibi ??lolHahahaha....we kumbe mbea eh?.........Hebu soma komenti ya babu hapa chini
Na kuweka pointi vizuri zaidi ni kuwa.........huwezi penda watu wawili..Kuna mmoja utakuwa unamtamani tu....Kinachotokea hapa ni kuwa, yule unayemtamani lakini yeye akawa anakupenda, utajikuta unalazimika kumpenda na kumkubali. Ukimtamani na ukamkubali utajikuta unampenda......Bibi ameingia mikononi kwa babu kwa muktadha huu.....Ndo maana nikakwambia yule mtu akirudi, bibi atakuwa na mshindani mkali, sikusema bibi atapigwa kibuti.
FYI....hakuna mwenye uwezo wa kumtoa bibi yenu mikononi mwangu zaidi ya Mwenyezi Mungu.
Nimeipenda hiyo sentensi ya mwisho babu....lakini si wanasema ukimpenda mtu you will do anything, anything for him/her je akitaka kuwa zaidi ya Bibi yaani umtoe bibi ??lol
Mapenzi bana mie siku hizi nachukulia juu juu tu mpaka siku nikipatwa ndio nitayachukulia serious sana, nimechoka na sitaki kuumia tena, im just enjoying my life as long as i can
another platinum release from Lizzy,My dear huyo mtu wa kukusukuma na kukuvuta kila anapojisikia kwakweli sidhani kama anakua anakupenda.....zaidi ya kutaka kukutumia kwa mahitaji yake.Na hata kama anakupenda atakua ni mbinafsi sana kukuacha umlilie alafu ukishafuta machozi yako anakuja tena kwako akijua kabisa he/she can not stay with you.
Kitendo tu cha yeye kuchokonoa kidonda kilichopona au kinachokaribia kupona kinaonyesha kwamba atakua hajali mwisho wako utakua vipi bali leo yake itakua vipi.Ukitumia haya mawazo vizuri unaweza kuendelea na maisha yako japo unaweza usiache kumpenda.....ukifikiria kwamba unampenda ila hathamini upendo wako wala hajali hisia zako utapata sababu ya kukaa mbali nae na kutomuamini hata akikujia na machozi yake ya mamba.
Binafsi naamini wawili wakipendana kweli hamna kinachoshindikana.Swala la kwamba wengine hua wanabaki kwenye mahusiano yao ya kabla kwa sababu ya majukumu ni kudanganyana tu.Ukichukulia mfano wa mwanaume aliyeoa na ana mtoto ila kapenda kwingine.....anabaki kwenye ile ndoa kutimiza jukumu gani????Kama ni kua baba kwa mtoto wake anaweza kufanya hivyo bila kua na mama...kama ni jukumu la kua mume anakua amefeli tayari kwasababu mapenzi yake ameshahamishia sehemu nyingine tayari.
Kuhusu kupigania pigania kile unachostahili ....kinachotaka kupiyaniwa na una nafasi ya kukipata tu !!Otherwise utatumia muda mwingi kupigania kisicho riziki mpaka upitwe na kile ambacho ni riziki.Piga mahesabu kabla kuingia vitani....je ukishindwa utapoteza nini na kupata nini na je ukiweka mikono chini na kukubali kushindwa wakati bado uso haujachakaa kwa mawazo utapoteza nini na utapata nini.
you are very right Okada....MTM and Lizy: Love is more of giving than receiving.
Yaah, but ni wangapi wako tayari kutoa mapenzi kiasi kile kile wanachopewa? Wengi wetu tunapenda kupendwa na kubembelezwa, utasikia mtoto wa kike anasema JAMAA KAFIKA KWELI, MIMI NAEGESHA TU!
This is slavery! Ndio anayosema mwanajamii One! Unapenda na kuhangaika, mwenzako anaona sifa tu, yeye haonyeshi mapenzi. Hebu jiulize, kwa nini umfanye mwenzako mtumwa kwa mapenzi! The world is full of broken hearts kwa sababu hizo! UKipendwa, shikamana!
another platinum release from Lizzy,
Lakini kama wewe ni msomaji mzuri sana wa JF (which i believe you are..) hebu fuatilia nalivua pendo, baby come back, what if na have you ever.....
I rest my case!!!!
MJ1 is pulling someones leg halafu anamgeuzia kibao tu huyo mkaka wa watu
true kwenye red aisee,Hahahaha....we kumbe mbea eh?.........Hebu soma komenti ya babu hapa chini
Na kuweka pointi vizuri zaidi ni kuwa.........huwezi penda watu wawili..Kuna mmoja utakuwa unamtamani tu....Kinachotokea hapa ni kuwa, yule unayemtamani lakini yeye akawa anakupenda, utajikuta unalazimika kumpenda na kumkubali. Ukimtamani na ukamkubali utajikuta unampenda......Bibi ameingia mikononi kwa babu kwa muktadha huu.....Ndo maana nikakwambia yule mtu akirudi, bibi atakuwa na mshindani mkali, sikusema bibi atapigwa kibuti.
FYI....hakuna mwenye uwezo wa kumtoa bibi yenu mikononi mwangu zaidi ya Mwenyezi Mungu.
Lizzy sweetheart, i think i once said this to you and probably i might have said more than once
Love is giving, not receiving!!!
MJ1 is giving her love, unfortunately the love might have not been received as expected (I am just assuming).... I do believe it is only through giving that one will enjoy love coz we are alway proud of what we share/give and not what we receive, it is a law of nature unless one is unnaturally selfish, which is unfortunate. if you have read the tend of people sharing their past experience, or even the songs pasted in this thread zote zina melekeo huo... GIVING
Personally, I never want to receive love, all i want is to give.... and it is through giving, then we can share something in return
nilivyomuelewa mimi MJ1, ni kwamba she has lots of love to give but it is not reaching the last mile, and somehow she wishes to detach that love,.... who knows, probably the way she give it is the problem (labda huyo jamaa hajui, au kabanwa na hawezi kutoka huko alipo au hata kushare) and this has only two approaches, kusema usikike na kufanya yaonekane, au ku-detach
WHEN GIVING LOVE, DONT MIND THE FUTURE TEARS COZ THAT WILL IMPEDE YOUR GIVING AND IT WILL BE AS COLD AS ICE
.....SORRY BUT I HAVE TO SAY THIS, WANAHARAKATI WENGI, WANA VERY COLD LOVE COZ TO THEM IT IS LIVE BUSINESS AND BOOKS HAVE TO BALANCE, IN THE END EVERYTHING BECOMES A BORE
khe khe kheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeAnd who has written this stuff?
No my mate has just said it....
true kwenye red aisee,
ila je hakuna pia wa kukaa nae hapo mikononi mwako japo kwa muda??
another platinum release from Lizzy,
Lakini kama wewe ni msomaji mzuri sana wa JF (which i believe you are..) hebu fuatilia nalivua pendo, baby come back, what if na have you ever.....
I rest my case!!!!
MJ1 is pulling someones leg halafu anamgeuzia kibao tu huyo mkaka wa watu
i think you missed my pointduu mapenzi nazidi kuchanganyikiwa kila siku, kuna sehemu nilisoma eti men like giving than receiving love, na sie wanawake tunatakiwa tureceive tu hiyo love tunayopewa na wapenzi wetu, na ikitokea basi huyu mwanamke awe ndo anagive hiyo love kwa mwanume wake, basi huyo mwanaume ataboreka na kutafuta mwanamke mwingine to give her his love, Je sisi wanawake hatutakiwi kupenda jamani MTM nisaidie hapa
Hahahhaha MTM what about NEVER KNEW.?? this one is completely linked to that one I tell you and if you know the secret behind the Never knew then you've got the secret....................
Unaona sasa kamanda???Hahahhaha MTM what about NEVER KNEW.?? this one is completely linked to that one I tell you and if you know the secret behind the Never knew then you've got the secret....................