Have You Ever.......

Have You Ever.......

another platinum release from Lizzy,

Lakini kama wewe ni msomaji mzuri sana wa JF (which i believe you are..) hebu fuatilia nalivua pendo, baby come back, what if na have you ever.....

I rest my case!!!!

MJ1 is pulling someones leg halafu anamgeuzia kibao tu huyo mkaka wa watu
Mhhh ngoja ntafanya mpango wakuconnect nukta hizo......
 
Hahahaha....we kumbe mbea eh?.........Hebu soma komenti ya babu hapa chini


Na kuweka pointi vizuri zaidi ni kuwa.........huwezi penda watu wawili..Kuna mmoja utakuwa unamtamani tu....Kinachotokea hapa ni kuwa, yule unayemtamani lakini yeye akawa anakupenda, utajikuta unalazimika kumpenda na kumkubali. Ukimtamani na ukamkubali utajikuta unampenda......Bibi ameingia mikononi kwa babu kwa muktadha huu.....Ndo maana nikakwambia yule mtu akirudi, bibi atakuwa na mshindani mkali, sikusema bibi atapigwa kibuti.

FYI....hakuna mwenye uwezo wa kumtoa bibi yenu mikononi mwangu zaidi ya Mwenyezi Mungu.
Dah babu umemaliza maswali yote!!!Asante sana......
 
Dears
Am just asking

Have you ever love someone, I mean really love her/him............... only to face the truth that that person can not be with you because may be s/he is already taken/ belong to someone else?
How do you deattach yourself with that feeling................... What do you do/can someone do??

All gals I loved with every bit of my heart are with other guys! Thats the reason Im still hunting for some one who is yet to be born.
 
Nasubiria chapter ya mwisho...... AT LOOOOONG LAST.............!
kweli aisee

nimeenda kwenye ile sredi nimekuta waghani wa kimataifa aisee

Au huyu MJ1 anfanya PhD nini na haya masredi??
 
All gals I loved with every bit of my heart are with other guys! Thats the reason Im still hunting for some one who is yet to be born.

Rev.............. it will take you forever kaka yangu to hunt those yet to be born.....try to look for someone who loved some and was left for someone else.........LOL ngoma draw
 
Hizo tano za baridi?


Hahahahha walevi bwana ................. kwa nini usifikiri umepewa tano vocha za simu??

kweli aisee

nimeenda kwenye ile sredi nimekuta waghani wa kimataifa aisee

Au huyu MJ1 anfanya PhD nini na haya masredi??

Hahahahaaaaaaaaaa hakuna siku nimecheka kama leo. Majonzi yangu yoooote na maumivu ya mapenzi yametoweka
 
Rev.............. it will take you forever kaka yangu to hunt those yet to be born.....try to look for someone who loved some and was left for someone else.........LOL ngoma draw

Naomba nikuong'oneze....ukizaa kabinti tafadhali naomba niwe mkweo...You man never get old other than becoming more wise as they age...
 
All gals I loved with every bit of my heart are with other guys! Thats the reason Im still hunting for some one who is yet to be born.
Unafundisha kupenda wakati we hujajifunza???Baba mchungaji embu penda acha kujinyima raha duniani hapa!
 
Naomba nikuong'oneze....ukizaa kabinti tafadhali naomba niwe mkweo...You man never get old other than becoming more wise as they age...
.....................Dah Rev. nimekosa jibu walah!! unatunyima tu fursa ya kumpata wifi yetu na hao maaunties wa kucheza nao. hujui am dying for grandies hapa??
 
Back
Top Bottom