I loved a girl somuch in my old days!
We set a plan for future, to live together and raise a brand new family!
And we couldnt hide it no more, the echo went down to all the neighborhood compounds!
Akatumiwa barua siku moja kwa njia ya Posta, na kwa vile watu walijua kuwa niko nae, wakanipa barua hiyo ili nimpelekee!
Nikaamua kuifungua maana miandiko ya nduguze yote niliijua, na si wao walioiandika!...mwandiko mpya!
Nilikutana na mshangao wa maisha..."Nadhani ulifika salama nyumbani, nilifurahi sana kutembelewa na wewe"
My hairs! I couldnt believe the Lady went all the way to Laela-Sumbawanga, mi nikijua yuko shule!..huh!
Sikuwa na jinsi ....it was once and for all, sasa hivi tukikutana ni 'Hi...Hi'...Ana familia, nina familia!