Hawa AIRTEL ni matapeli kabisa hasa kwenye kifurushi chao cha MB 850 cha shilingi 1500

Hawa AIRTEL ni matapeli kabisa hasa kwenye kifurushi chao cha MB 850 cha shilingi 1500

Habari wakuu wa jf,

Huwezi amini nimejiunga kifurushi cha MB 850 kwa elfu 1500 hata nusu saa haijapita naambiwa umetumia asilimia 75% ya kifurushi chako.

Kama hali ndio hii basi tumekwisha na sikuwahi kuzani kama airtel nao ni matapeli tu ila fine waache wachukue hivo vi MB vyao PUMBAFU SANA AIRTEL.
Mi kuliko kujiunga huo upuuzi bora hata Mb 800 za vodq kwa 1500 zinakaa japo kdg

Nilijiunga huo uzuzu sikutumia sana hata siku haijaisha Mb 850 zikaishq
Nilishangaa sana
 
Kwangu Mimi naona siku hizi voda bando linaenda vzr Sana(kwa experience yangu) lkn nao zamani walikua Kama Airtel.
Mimi nina 18+ yrs na voda, angalau sasa hivi kidogo naona wameshaanza kujishtukia na kubadilika kwenye data, kuna muda niliwaza niitupe line yao kabisa ingawa maumivu bado yapo. Kuna siku data inaisha haraka na hujafanyia kitu cha maana, na kuna siku linakaa mpaka unawaza wamesahau kuzima au kuna ofa.

Wanachonikera tu ni kuunganisha wateja kwenye huduma bila ridhaa yao.
 
Habari wakuu wa jf,

Huwezi amini nimejiunga kifurushi cha MB 850 kwa elfu 1500 hata nusu saa haijapita naambiwa umetumia asilimia 75% ya kifurushi chako.

Kama hali ndio hii basi tumekwisha na sikuwahi kuzani kama airtel nao ni matapeli tu ila fine waache wachukue hivo vi MB vyao PUMBAFU SANA AIRTEL.
Mbona Tigo ni 750 MB kwa Tshs 1500
 
Mimi mwenyewe huwa nashangaa sana Airtel kuna kifurushi cha Shilingi Elfu 10,000/= cha Mwezi mitandao yote, sms na 4 GB lakini ukishajiunga hizo GB zinabadilika zinakuwa MB ukiwasha Data kidogo tu zinayeyuka tu, Airtel mnatuumiza wateja wenu fanyieni kazi hili tatizo.
 
Habari wakuu wa jf,

Huwezi amini nimejiunga kifurushi cha MB 850 kwa elfu 1500 hata nusu saa haijapita naambiwa umetumia asilimia 75% ya kifurushi chako.

Kama hali ndio hii basi tumekwisha na sikuwahi kuzani kama airtel nao ni matapeli tu ila fine waache wachukue hivo vi MB vyao PUMBAFU SANA AIRTEL.
Mkuu sasahivi tunaipata pata hakuna mtandao wenye afadhali wizi mtupu ila siku yao ipo.
 
Airtel wahuni tu.
Mwaka 2014 walikuwa na vifurushi viwili vya bei sawa.

Cha kwanza MB 500 = TZS 500

Cha pili MB 500 DK 50 SMS 100 = TZS 500

Hicho cha kwanza nilikuwa natumia zaidi ya masaa matatu.
Hicho cha pili ni kama moto wa mabua, nilikuwa natumia kama dakika 20 hivi.

Nahisi hayo mabua ndio wanatuuzia siku hizi.
Hahahah mkuu airtel sio watu wazuri kabisa leo ndio nimerud online daahh
 
Na line yao sikuishia kuitupa tu bali kea hasira nikavunja na kuitupa chooni baada ya kukopi namba muhimu na nikaandika katika record book yang kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutumia kwani siku nyingine inakuwa Mb zipo lakini network ya chini mno.

Halotel nao wanafuata mkumbo wa Airtel nawalia timing ninaweza kuivunja chap..
Mkuu nirudi mtandao gani sasa VODA ama TIGO?
 
Unaweza kuwa umezima data lakini bado wanakuletea sms kwamba umemaliza bando..sasa limetumikaje wakati nilikuwa nimezima matumizi ya data?!
Hahahaha nashukuru kwa kulitambua hilo mkuu wengi hawajui khaaaaaa!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mkuu nirudi mtandao gani sasa VODA ama TIGO?
Nipo Voda ,Tigo na Halotel

Voda hawa Mb zao zipo vizuri vifurushi vinaisha kihalali bila longolongo ila bei zao za juu mfano mimi najiunga cha buku 1.7Gb wiki 2 naperuzi bila wasi .


Halotel Mb zao za uongo mara nyingi uongo ukiweka hata Gb2 chap hamna salio na nimewahi kuchunguza kwenye data usage details nakuta nainibiwa kama Mb 150 mpk 160 kwenye GB 2 ,wao wanasema zimeisha ila ukikagua kwenye mahesabu hola.

Tigo sijaona shida yeyote wapo kawaida tu.
 
Nipo Voda ,Tigo na Halotel

Voda hawa Mb zao zipo vizuri vifurushi vinaisha kihalali bila longolongo ila bei zao za juu mfano mimi najiunga cha buku 1.7Gb wiki 2 naperuzi bila wasi .


Halotel Mb zao za uongo mara nyingi uongo ukiweka hata Gb2 chap hamna salio na nimewahi kuchunguza kwenye data usage details nakuta nainibiwa kama Mb 150 mpk 160 kwenye GB 2 ,wao wanasema zimeisha ila ukikagua kwenye mahesabu hola.

Tigo sijaona shida yeyote wapo kawaida tu.
Nashukuru mkuu bora nilejee vodacom tu maana hali mbaya kwa kweli nimechoka kuperuzi kwa mashaka hapa.
 
Back
Top Bottom