Second Fiddle
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 469
- 121
Wamefungwangapi
Miaka yote kombe lenu ni Top4! Safari hii kulikoni mbona hatuwaeleni? Kuweni wastaarabu basi kwenye mechi zilizosalia muonyeshe uprofeshenolizm! Yaan mtuovertek kwel mwishon kabisa wakat msimu mzima toka day 1 tunaongoza!? Tunajua uwezo mnao wa kumaliza league bila kupoteza hata mechi moja, lakn huo sio uprofesheno! Kuweni FAIR jamani MTAUA WATU! (wale wakuweka mizigo)