Hawa Arsenal FC vipi?

Second Fiddle

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2014
Posts
469
Reaction score
121
Miaka yote kombe lenu ni Top4! Safari hii kulikoni mbona hatuwaeleni? Kuweni wastaarabu basi kwenye mechi zilizosalia muonyeshe uprofeshenolizm! Yaan mtuovertek kwel mwishon kabisa wakat msimu mzima toka day 1 tunaongoza!? Tunajua uwezo mnao wa kumaliza league bila kupoteza hata mechi moja, lakn huo sio uprofesheno! Kuweni FAIR jamani MTAUA WATU! (wale wakuweka mizigo)
 
Wamefungwangapi

Wameshinda (1-0) kaka yaan mpaka naugua sasa! Chelsea kiwango kimeporomoka kwasasa na gemu tatu zijazo ni ngumu kwa Chelsea! NAPATA HOFU Arsenal wanaweza kubeba NDOO badala ya Chelsea wanaostahili na nikaikosa BINGO yangu! WASHINDWE KTK JINA LA YESU!
 
Utaelewa tu na huyo diamond wenu {number one}.
 

Sometimes unamtukuza Mungu kwa kuwa mshabiki wa Chelsea! Hiki kikombe kipo darajani tayari, hatuna haraka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…