Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu askari magereza huku mitaani wanadharaulika sana kimakosa.Wanajitahidi ku attract attention kwakuwa wanajua hawana issue.
Hao jamaa hata bila silaha wanapiga mkono mwingi sanaaa.Wanajitahidi ku attract attention kwakuwa wanajua hawana issue.
Mkuu askari magereza huku mitaani wanadharaulika sana kimakosa.
Hao jamaa ukiingia anga zao huko jela utaomba ufe ili upate nafuu kuliko shughuli zao.
Siyo poa kabisa hao jamaa.
Kaka mimi hao watu nimeishi nao tokea utotoni mpaka ukubwani. Ni weupe sana tu. Hizo mbwembwe za kusema wanapigana sijui nini ni wanaonea wafungwa tu ambao ni kama hawana haki wala uwezo wa kujibu kitu ila kitaa tunawavuruga tu kama kawaida.Hao jamaa hata bila silaha wanapiga mkono mwingi sanaaa.
Hao martial arts ni kama uji kwa mgonjwa.
Hao makomando wanaoficha uso achana nao anaweza akakupa pigo moja ukajikuta mwezi mzima ukikohoa unasikilizia maumivuMkuu askari magereza huku mitaani wanadharaulika sana kimakosa.
Hao jamaa ukiingia anga zao huko jela utaomba ufe ili upate nafuu kuliko shughuli zao.
Siyo poa kabisa hao jamaa.
Zoea mkeo usizoee askariKaka mimi hao watu nimeishi nao tokea utotoni mpaka ukubwani. Ni weupe sana tu. Hizo mbwembwe za kusema wanapigana sijui nini ni wanaonea wafungwa tu ambao ni kama hawana haki wala uwezo wa kujibu kitu ila kitaa tunawavuruga tu kama kawaida.
Hao makomando wanaoficha uso achana nao anaweza akakupa pigo moja ukajikuta mwezi mzima ukikohoa unasikilizia maumivu
Siyo wote.Kaka mimi hao watu nimeishi nao tokea utotoni mpaka ukubwani. Ni weupe sana tu. Hizo mbwembwe za kusema wanapigana sijui nini ni wanaonea wafungwa tu ambao ni kama hawana haki wala uwezo wa kujibu kitu ila kitaa tunawavuruga tu kama kawaida.
Duh bonge la NYAMGOHA!Sijui hilo rungu ni tambiko ama masharti ya mganga?! View attachment 1874462View attachment 1874463View attachment 1874464View attachment 1874465View attachment 1874466View attachment 1874467
Hahaha yes hao niliwaona pale mahakama ya Kibaha kwenye kesi zile za wale jamaa wa Kibiti. Hao jamaa ni hatari kwanza ikiwa siku ya keshi eneo lote la mkoani linakuwa cordoned haruhusiwi kuingia raia bila ID (wafanyakazi wa Tanesco, TRA, NSSF n.k).Siyo wote.
Kuna maalum ambao hata shetani anawachukia na kuwaogopa.
Ni ze comedy kabisa, halafu wahusika wanawatizama tu, hii mizaha mizaha ndiyo mwendolezo wa ufukara wetu, hatuko makini wala kuheshimu kazi zetu..Sijui hilo rungu ni tambiko ama masharti ya mganga?! View attachment 1874462View attachment 1874463View attachment 1874464View attachment 1874465View attachment 1874466View attachment 1874467
Weledi tu MkuuWakiwa kikamanda mnawaita Wana mikwara,wakiwa mchele mchele mnawadharau.
Mnataka Nini?