[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zoea mkeo usizoee askari
Hicho ni kikosi maalum chenye uwezo mkubwa na silaha za siri na dhahiri, hilo rungu sio kitu cha maana ila ni kutuma ujumbe tu kwamba usijaribu.
Kumbuka moja tuhuma za watuhumiwa ni kupora kwa kutumia silaha hivyo wakati wowote genge lao (kama lipo) linaweza kuvamia kujibu mapigo kumtorosha mkuu wao.
Nipo kitengo ndugu, elewa hivyo [emoji16][emoji16]Hahaha,eti silaha za siri!..ndio kitu gani hicho!.Mkuu acha kuwagwaya Askari.Kwa maelezo yako unaonekana kunguru(muoga)!
Hawana kingine Cha kuonyesha weredi wao zaidi ya hizi Swaga za kijinga,zisizo na mashiko,sasa kama DC tu ni mikwara hivyo,siku Raisi mstaafu akifikishwa mahakamani itakuaje?Sijui hilo rungu ni tambiko ama masharti ya mganga?! View attachment 1874462View attachment 1874463View attachment 1874464View attachment 1874465View attachment 1874466View attachment 1874467
Nimecheka balaa aiseeeHawana kingine Cha kuonyesha weredi wao zaidi ya hizi Swaga za kijinga,zisizo na mashiko,sasa kama DC tu ni mikwara hivyo,siku Raisi mstaafu akifikishwa mahakamani itakuaje?
wamefanya maigizo hadi wameshusha hadhi ya uaskari magereza. kwa kawaida, hawa jamaa wanatakiwa kuongezewa mishahara, wanaishi maisha magumu sana na hawana sehemu ya kupatia hela ya ziada kama wenzao polisi. kwa askari magereza, anayekula pesa (though rushwa) ni admission officer, mkuu wa gereza, na RPO. hao wanapiga hela ndefu sana kwenye community service, kwenye kupunguza vifungo, kwenye msamaha wa Rais etc. wadogowadogo wasio na vyeo hao wote wana njaa sana. pamoja na kwamba, hao ni raia wakakamavu tu, hawana lolote, bora hata polisi wangefanya hilo jukumu. sawa na mtu aje leo anambie game officers/wadens ni askari, au hao wa TFS.Sijui hilo rungu ni tambiko ama masharti ya mganga?! View attachment 1874462View attachment 1874463View attachment 1874464View attachment 1874465View attachment 1874466View attachment 1874467
and you can only find this in Tanzania, na kwa magereza tu. hata mgambo hawana swaga za kubeba bunduki na marungu kama hawa majamaa, sijuu wametoka kijiji gani.Hawana kingine Cha kuonyesha weredi wao zaidi ya hizi Swaga za kijinga,zisizo na mashiko,sasa kama DC tu ni mikwara hivyo,siku Raisi mstaafu akifikishwa mahakamani itakuaje?