Wana fitness ya hali ya juu,,wanapiga mashuti, wako vizuri sana kiufundi,Wana Kasi sintoshangaa wakifuzu robo fainali licha ya uchanga wao,,
Wataokota alama zote 9 nyumbani kwao sioni kama Simba ataambulia chochote akiwafata kwa uchezaji wao huu,,mpaka sasa wamempiga presha costsntine na kumtandika goli 2 za fasta fasta na uyo ndiye anayeonekana ana kaubora kwenye kundi.
Vipi hao waarabu Wakija kwa mkapa Simba atapata point kwao? Kama sfaxien tu imewatoa kamasi vipi Hawa Constantine? Yetu macho!
Wataokota alama zote 9 nyumbani kwao sioni kama Simba ataambulia chochote akiwafata kwa uchezaji wao huu,,mpaka sasa wamempiga presha costsntine na kumtandika goli 2 za fasta fasta na uyo ndiye anayeonekana ana kaubora kwenye kundi.
Vipi hao waarabu Wakija kwa mkapa Simba atapata point kwao? Kama sfaxien tu imewatoa kamasi vipi Hawa Constantine? Yetu macho!