Hawa Clouds Fm ni wa ajabu sana jamani

dawa na wewe ni kufungua ya kwako ili ufanye unacho taka
 
dah, leo ndo nimefahamu ilikuaje mpka ngwea akafariki.
 
Watu mnampiga majungu hadi marehemu . Brother Albert Man Air MAY GOD REST YOUR SOUL IN EVERLASTING PEACE.
 

Dah! Nimepata shida kuelewa hii lugha ya kitaa iliyotumika....sijui umri.
Nitafsirie pls
 
Hao wote uliowataja huwezi kuwalinganisha na Marehemu Ngwea....
 
Dah! Nimepata shida kuelewa hii lugha ya kitaa iliyotumika....sijui umri.
Nitafsirie pls

Nia yangu pia waelewe tu wenye kujua KUFUMBUA MAFUMBO yangu YALIYOTUKUKA na wengine msiojua KUJIONGEZA mmbaki hivyo hivyo. Kama Wewe ni Mtoto wa mjini hutoshindwa kuelewa nilichokiandika hapo ila kama ndiyo kwanza umetokea KYAKA NKUNDE village au IKUPILIPA NKOBA village utapata shida mno na aina yangu ya Kiuandishi ambayo imejaa FASIHI na FALSAFA tupu!
 
Tatizo lako ni kuisikiliza hiyo radio kama wana unazi...usingeisikiliza ungesikia wapi hiyo habari....!!!
 
kwa ulio wataja hapo, ษ“ila ya kupepesa macho ni yupi maarufu na anajulikana zaiษ—i ya ngwea, hata kama clouษ—s wanafanya madudu lkn kwa hili sina imani na wewe
 

Mkuu, hapo kwenye red acha utani! Yaani hao uliowataja na malejendari kuliko Ngwea??
 
ulitakaje?
 
"Pengo langu halina spea coz mi ndo mimi na hatuwezi kuwa pair, so nageuka Mc Regan nawaambiaa Endeleeeaaaa'' R.I.P Albert.
 
Kama najaribu kukuelewa ivi..!
 
hapo sasa ndo nimeelewa, duh inatisha japo ndo ishatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ