Hawa hapa member wa JF na sifa zao za kipekee

Umejiunga JF juzi tu (04/06/2019) na umeshatutathmini na kufahamu "sifa" zetu "za kipekee"!

Wewe kweli sumu.

Majanga!
 
Aisee ntakuja nikuungishe best angu!
Mbwa dume: huyu alikuwaga mwizi wa mafuta ya transfomer siku hizi alishaacha hiyo mambo amejiajiri kama muuzaji maarufu wa majeneza jijini Dodoma
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji108][emoji123][emoji106][emoji106][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…