Kuelewa kwa Kenge ni mpaka apigike damu zitoke masikioni. Mitanzania mingi ni mivivu ya kufikiri inapenda short cut na pia haijielewi. Toka zamani ilikuwepo DECI ikawagonga ,ikaja Kalyinda ikawatoa malinda, Qnet wazee wa all mornings.
Wamekuja wahuni wengine hawa hapa. Muda si muda watu watakuja huku wanalia. Kama Forex ilivyo waliza. Watanzania ni fursa.
Hivi kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuweka laki 2 apate million 2. Kwa biashara gani kupata faida kiasi hicho. Huo ni utani tu watu wametengeneza kufurahisha nafsi zao ha ha ha ha ha
Kuna jamaa aliniambia niwekeze laki nne then baada ya miezi sita napokea million moja,mpaka leo huu ni mwaka wa tatu hata simu zangu hapokei sijui nifanyeje
Kuna jamaa aliniambia niwekeze laki nne then baada ya miezi sita napokea million moja,mpaka leo huu ni mwaka wa tatu hata simu zangu hapokei sijui nifanyeje