Hawa Internet Service provider kuna mchezo wanafanya!

Hawa Internet Service provider kuna mchezo wanafanya!

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mwezi mmoja na nusu ago, tulikuwa na speed nzuri mtu unashusha ma series na movies kibao tu kwa siku. Mimi ilikuwa inanimotisha nachapa kazi sana na sioni shida kutoka usiku saa 2 au 3 bila hata kujaza overtime.

Lakini ghafla kwa sasa mtandao umekuwa wa kawaida sana mwezi wa 3 huu ....yaani unaweza browse vizuri tu lakini kwenye upande wa kudownload inakuwa kimbembe imenifanya sasa ukifika muda tu wa kutoka kazini sijiulizi mara mbilimbili na dandia kimeo changu nachapa mwendo.

Sasa wanaanza kulalamika humu ofisini kuwa nawaacha kwenye mataa hawapati muda wa ku enjoy life na mimi je namwahi nani nyumbani n.k. sijawaambia nini kimenifanya nikatishwe tamaa na kushushwa morali katika kazi kwa kuwa sitaki kumwaga kuku kwenye mpunga wengi.

Najiuliza je hawa watu wa net solution kuna mchezo wanafanya au ni nini? Maana hii sasa ishakuwa nongwa. mbona tulikuwa tunapata speed nzuri tu? Nini kimetokea? Si sawa wajui mtuambie.

Image.png
 
ISP ndo mchezo wao! Kama subscription zilikuwa dedicated wamezifanyashared na jamaa mwingine na kupiga cha juu kwa gharama zenu! Cha muhimu nunua bandwidth manager kuproduce trend graph ya bandwidth mnazouziwa kama ni exactly zinawafikia au la!
 
Mwezi mmoja na nusu ago, tulikuwa na speed nzuri mtu unashusha ma series na movies kibao tu kwa siku. Mimi ilikuwa inanimotisha nachapa kazi sana na sioni shida kutoka usiku saa 2 au 3 bila hata kujaza overtime.

Lakini ghafla kwa sasa mtandao umekuwa wa kawaida sana mwezi wa 3 huu ....yaani unaweza browse vizuri tu lakini kwenye upande wa kudownload inakuwa kimbembe imenifanya sasa ukifika muda tu wa kutoka kazini sijiulizi mara mbilimbili na dandia kimeo changu nachapa mwendo.

Sasa wanaanza kulalamika humu ofisini kuwa nawaacha kwenye mataa hawapati muda wa ku enjoy life na mimi je namwahi nani nyumbani n.k. sijawaambia nini kimenifanya nikatishwe tamaa na kushushwa morali katika kazi kwa kuwa sitaki kumwaga kuku kwenye mpunga wengi.

Najiuliza je hawa watu wa net solution kuna mchezo wanafanya au ni nini? Maana hii sasa ishakuwa nongwa. mbona tulikuwa tunapata speed nzuri tu? Nini kimetokea? Si sawa wajui mtuambie.

View attachment 2794539
Unawatia hasara ofisini, fanya kaz na sio kudownload movie kwa torrent. Chunga sana na inaonyesha wanakujua mchezo wako, itakuwa wameshitushwa na invoice kutoka "net solution", and you have no idea what is going on, vilaza wengine bhana😂😂😂😂
 
Mwezi mmoja na nusu ago, tulikuwa na speed nzuri mtu unashusha ma series na movies kibao tu kwa siku. Mimi ilikuwa inanimotisha nachapa kazi sana na sioni shida kutoka usiku saa 2 au 3 bila hata kujaza overtime.

Lakini ghafla kwa sasa mtandao umekuwa wa kawaida sana mwezi wa 3 huu ....yaani unaweza browse vizuri tu lakini kwenye upande wa kudownload inakuwa kimbembe imenifanya sasa ukifika muda tu wa kutoka kazini sijiulizi mara mbilimbili na dandia kimeo changu nachapa mwendo.

Sasa wanaanza kulalamika humu ofisini kuwa nawaacha kwenye mataa hawapati muda wa ku enjoy life na mimi je namwahi nani nyumbani n.k. sijawaambia nini kimenifanya nikatishwe tamaa na kushushwa morali katika kazi kwa kuwa sitaki kumwaga kuku kwenye mpunga wengi.

Najiuliza je hawa watu wa net solution kuna mchezo wanafanya au ni nini? Maana hii sasa ishakuwa nongwa. mbona tulikuwa tunapata speed nzuri tu? Nini kimetokea? Si sawa wajui mtuambie.

View attachment 2794539
Kuna factors kibao zinazofanya speed iwe ivo, mojawapo ni number of seeders ambayo ndo nahisi inafanya upate hiyo speed ndogo....
 
Back
Top Bottom