Bunge na ikuluHawa tuwape tu bandariiiii al habibiiiiiii
Mafutakuna mwaka mmoja nyuma kampuni ya Rolls Royce ilitka kumshtaki mwarabu mmoja alikuwa anaitumia gari ya kifahari Rolls royce kukatia majani ngamia wake hili ilikuwa inashusha hadhi na thamani ya gari.
Swali hawa jamaa wanatoa wapi pesa mbona kwao hivi ni vitu vya kawaida kama Dubai na nchi yao ni ndogo sana?
Usimamizi mzuri wa rasilimali zao,uwajibikaji na visima vya mafuta wanavomiliki vinawapa utajuri toshakuna mwaka mmoja nyuma kampuni ya Rolls Royce ilitka kumshtaki mwarabu mmoja alikuwa anaitumia gari ya kifahari Rolls royce kukatia majani ngamia wake hili ilikuwa inashusha hadhi na thamani ya gari.
Swali hawa jamaa wanatoa wapi pesa mbona kwao hivi ni vitu vya kawaida kama Dubai na nchi yao ni ndogo sana?
Kwa kuongezea maoni ya wadau hapo juu... kaao kodi pia ni rafiki, ukipata bilioni ya kibongo ni yako yote hamna konakona so hela ya kuishi vizuri unaiona while nchi zingine unalipa kodi karibia nusu ya hiyo pesakuna mwaka mmoja nyuma kampuni ya Rolls Royce ilitka kumshtaki mwarabu mmoja alikuwa anaitumia gari ya kifahari Rolls royce kukatia majani ngamia wake hili ilikuwa inashusha hadhi na thamani ya gari.
Swali hawa jamaa wanatoa wapi pesa mbona kwao hivi ni vitu vya kawaida kama Dubai na nchi yao ni ndogo sana?
Kama ni hivyo waje tuwapangishe na tiharahei🤣🤣Kwa kuongezea maoni ya wadau hapo juu... kaao kodi pia ni rafiki, ukipata bilioni ya kibongo ni yako yote hamna konakona so hela ya kuishi vizuri unaiona while nchi zingine unalipa kodi karibia nusu ya hiyo pesa
😆 😂 😆 😂 thubutuuu.. serikali yetu ina tamaa mno na ukiwa na hela unageuka mtaji wa wanasiasaKama ni hivyo waje tuwapangishe na tiharahei🤣🤣