Hawa jamaa wanakera sana , wanachimba ovyo mitaro mtaani kutandaza mabomba yao pasipo ustaarabu

Hawa jamaa wanakera sana , wanachimba ovyo mitaro mtaani kutandaza mabomba yao pasipo ustaarabu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Marndeleo yasiyo kuwa na mipango ni matumizi mabaya ya pesa!
Kuna jamaa hawamalizi kuchimba mitaro mtaani, kila mwaka wana chimba chimbua hata vya maana havionekani!

Wanatandaza mabomba yasiyotoa maji kila mwaka!

Wananchi maeneo mengi dar hawana huduma bora za maji lakini sahivi kila sehemu zimechimbuliwa hovyo hovyo wanafumua paving za watu hovyo, wanakatakata mabomba ya maji ya watu, wanachimbua njia hazipitiki hata cha maana hatuoni!

Hata kama jiji la dar linahitaji marndeleo lakini bila kuweka mipango huu ni uchafuzi wa mazingira!
Haiwezekani kila mwaka wanachimbua chimbua hovyo barabara mtaaani nq kuharibu miundombinu ya watu!.
 
Marndeleo yasiyo kuwa na mipango ni matumizi mabaya ya pesa!
Kuna jamaa hawamalizi kuchimba mitaro mtaani, kila mwaka wana chimba chimbua hata vya maana havionekani!

Wanatandaza mabomba yasiyotoa maji kila mwaka!

Wananchi maeneo mengi dar hawana huduma bora za maji lakini sahivi kila sehemu zimechimbuliwa hovyo hovyo wanafumua paving za watu hovyo, wanakatakata mabomba ya maji ya watu, wanachimbua njia hazipitiki hata cha maana hatuoni!

Hata kama jiji la dar linahitaji marndeleo lakini bila kuweka mipango huu ni uchafuzi wa mazingira!
Haiwezekani kila mwaka wanachimbua chimbua hovyo barabara mtaaani nq kuharibu miundombinu ya watu!.
Mkuu hili ndio tatizo la kutotembea nchi za watu nadhani wewe umeishia jiji la Dar tu ndio maana unalalamikia ujenzi usioisha, nenda Marekani ujenzi hauishi leo bomoa hapa kesho pale jenga hapa, ondoa hapa na maisha yanasonga mbele.
 
Mkuu hili ndio tatizo la kutotembea nchi za watu nadhani wewe umeishia jiji la Dar tu ndio maana unalalamikia ujenzi usioisha, nenda Marekani ujenzi hauishi leo bomoa hapa kesho pale jenga hapa, ondoa hapa na maisha yanasonga mbele.
Hongera ukitembea wewe inatosha! Wanakata mabomba ya watu pasipo kuwaungia mabomba yao
 
Mkuu hili ndio tatizo la kutotembea nchi za watu nadhani wewe umeishia jiji la Dar tu ndio maana unalalamikia ujenzi usioisha, nenda Marekani ujenzi hauishi leo bomoa hapa kesho pale jenga hapa, ondoa hapa na maisha yanasonga mbele.
Uongo
 
Mkuu hili ndio tatizo la kutotembea nchi za watu nadhani wewe umeishia jiji la Dar tu ndio maana unalalamikia ujenzi usioisha, nenda Marekani ujenzi hauishi leo bomoa hapa kesho pale jenga hapa, ondoa hapa na maisha yanasonga mbele.
Wacha urongo utapigwa makwenzi
 
Mkuu hili ndio tatizo la kutotembea nchi za watu nadhani wewe umeishia jiji la Dar tu ndio maana unalalamikia ujenzi usioisha, nenda Marekani ujenzi hauishi leo bomoa hapa kesho pale jenga hapa, ondoa hapa na maisha yanasonga mbele.
Asee unaishi tanzania kweli awa jamaa wanaboa sidhani uko marekani wanafanya kama hawa wenzetu,au kisa wanatumia mafundi mchundo
 
Kuna wajinga waliwah kuchimba mtaro mkubwa mtaani kwetu wa kuweka bomba kubwa,huo mtaro ulikaa karibia mwez mzima,hzo shida tulizopata hapo sitasahau,siku wameliunganisha Hilo bomba ilibid nilifukie mwenyew makusud,maana waliliunganisha wakaliacha hvyo hvyo,sijui walituonaje wale wajinga
 
Kuna wajinga waliwah kuchimba mtaro mkubwa mtaani kwetu wa kuweka bomba kubwa,huo mtaro ulikaa karibia mwez mzima,hzo shida tulizopata hapo sitasahau,siku wameliunganisha Hilo bomba ilibid nilifukie mwenyew makusud,maana waliliunganisha wakaliacha hvyo hvyo,sijui walituonaje wale wajinga
Utaratibu wao huwa wa hovyo sana ...
 
Asee unaishi tanzania kweli awa jamaa wanaboa sidhani uko marekani wanafanya kama hawa wenzetu,au kisa wanatumia mafundi mchundo
Serikali haiwapi maelekezo! Na wananchi hatupewi taarifa ....kinachoendelea mambo yanaendeshwa kibububu tu
 
Back
Top Bottom