Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

Hawa jamaa wanaongoza kwa mahusiano

Katika purukushani zangu mitaani nimekumbana na hawa jamaa.
Wanaongoza sana kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana/wanawake;-

Vinyozi hawa wanawanasa sana mabinti kwa mapowder na kuchonga nywele

Madreva tax hawa wanawanasa sana wake za watu nipeleke sehemu flani jamaa anaimba huko huko

Wasagisha mashine hawa nao balaa mahouse girl hapa huwa hawachomoki hata wake za watu

Konta wa daladala hawa nao dah mambo ya staff kwa mabinti ni balaa

Madereva wa malori hawa jamaa kila kituo atakapo funga break amewekeza

Wauza chipsi dahh hawa jamaa kwa gear ya zege na kidali wanamega sana

Wauza genge jamani jamani usiombee awe mpemba atamega mtaa mzima

MAHUSIANO AU UZINZI..?:twitch:
 
Ha ha ha nimecheka mmesahau Supervisors wa hotel kwa waitress
 
Ooooops! Hii thread ni noma.
Lakini naona kila mtu ana sehemu yake ya KULIA hawa wa2.
Hata sisi Ma-Engineer hawa wauza MSOSI kwa cafeteria na WAFANYA USAFI maofisini ni balaa!
Oooh! nimesahau hawa KK SECURITY bila kumtokea hutoi madili nje!!!!
 
Marubani!!!! Ma Cabin Attendant...... aka Cabin Crew,, au Air Hostess..
 
Alafu wale wanapenda sana kuharibu vitoto vivulana wananikera mm

Fidel, they are real bad i hate them! wanakaa chini ya mwamvili wa dini. wanaharibu vitoto aaaaah.!
 
Mbona mmesahau waganga wa kienyeji, nakumbuka story ya sheikh yahya na jamaa alimpeleka mkewe kutibiwa baada ya kupona mke akaomba talaka ha ha haaaa!!!!!
 
Yaani uki-sum up hizo access zote tajwa hapo juu, utagundua kwamba SI KWELI KABISA KUSEMA FOOTBALL ndio inaongoza kwa umaarufu duniani
 
sasa wewe ni mzoefu na wewe uko kwenye kundilipi kati ya hao.
 
Back
Top Bottom